90% ni uongo!

Kama hadi mama na baba wameingia kwenye hiyo 90% yako, so kina nani wamo kwenye 10% ambao na wakweli?

Si ndio hapo, yaani Baba na Mama niwaweke kwenye 90% eti yeye ni muweke kwenye 10%. Tena anawaita wazushi wakubwa!
 
hii ndio hasara ya kuishi kwa mashaka, na muongo siku zote huamini kila mtu ni muongo kama alivyo mwizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…