90% ni uongo!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,334
Reaction score
15,038
Baada ya kufanya utafiti wangu Binafsi ktk Jamii yetu nimekuja kugundua kwamba sehemu kubwa sana ya mambo yanayosemwa ni Uongo na Uzushi, kuanzia mambo ya Mitaani mpaka kwenye Siasa, hivyo usiseme haukuonywa, Mtz anapokwambia kitu chochote kile usimuamini hata awe makini vipi ktk kukuelezea! Nasema usimuamini hata awe Baba yako au Mama yako, wote waongo na wazushi wakubwa!
Kuanzia wazazi Nyumbani wanadanganya kila kitu mpaka watoto mashuleni!
 

Tukianza na wewe, hufai kwa uongo
 
Waliosoma elimu ya takwimu wanasema huwezi kukiwe kitu ktk fixed ratio or fixed amount mpaka uwe umefanya Exactly data analysis,
sasa wewe hiyo 90% umeitoa wapi'
 
Yaani wewe ni muongo kiasi kwamba hata unachoandika ni uongo na hakieleweki.
 
Waliosoma elimu ya takwimu wanasema huwezi kukiwe kitu ktk fixed ratio or fixed amount mpaka uwe umefanya Exactly data analysis,
sasa wewe hiyo 90% umeitoa wapi'

Kwani data analysis ni nini? au ina ugumu gani? Si nikukusanya Sampuli tu na kutafuta Wastani na kupata sehemu ya jibu unalolitafuta? sasa hapo kuna ugumu gani? Kupata sampuli ya Watz wanaodaganya ikilinganishwa na wale wasiodaganya au?

 

Kwa mujibu wa utafiti wako, inamaanisha hata hii hapa chini nayo ni uongo?

 
Kwa mujibu wa utafiti wako, inamaanisha hata hii hapa chini nayo ni uongo?

Ukisoma vizuri utaona kwamba nimeandika Asilimia 90% na SIYO 100% ni Waongo, nafikiri kuna tofauti hapo!
 
Ukisoma vizuri utaona kwamba nimeandika Asilimia 90% na SIYO 100% ni Waongo, nafikiri kuna tofauti hapo!

Mtafiti, unajua tofauti ya 100% na 90%?

........ Mtz anapokwambia kitu chochote kile usimuamini hata awe makini vipi ktk kukuelezea! Nasema usimuamini hata awe Baba yako au Mama yako, wote waongo na wazushi wakubwa!
Kuanzia wazazi Nyumbani wanadanganya kila kitu mpaka watoto mashuleni!

Umeshasema watu wote waongo, wanadanganya kuhusu kila kitu, kisha unasema 90%. Kwa hiyo kwenye hiyo 90% nikuamini wewe nisimwamini hata mama yangu na baba yangu!

Karudie utafiti.
 
 
Na tafiti nyingi sana ni za uongo,kama huu utafiti wako!Watanzania msiamini kila tafiti!
 

Sikatai huenda nikawa na matatizo ya kusoma na kuelewa hasa hasa kwenye huu uzi wako,

Twende taratibu


Unafahamu maana ya kitu chochote kile? Tena umeenda mbali zaidi kwa kusema kwamba hata awe makini vipi, really?
Vigezo gani umetumia? Kwa nini nisikuweke kwenye kundi la asilimia 90? nashangaa kwa nini hujasema asilimia 100 kwa sababu umesema kitu chochote kinachosemwa ni uongo, sasa hiyo ailimia 10 inatoka wapi?

Wewe ukisema sijui kusoma au kuelewa sio tatizo kwa sababu kwa mujibu wa utafiti wako, utakua unasema uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…