80% ya kipato nakifaidi mwenyewe, Msaada 20%

80% ya kipato nakifaidi mwenyewe, Msaada 20%

Kwa waafrika asilimia kubwa tunaishi kwa kusaidiana na pengine hapo ulipofika uliwezeshwa kwa namna moja au nyingine!!!! Na pia hata mzazi wako inawezekana alisaidiwa au aliwezeshwa mpaka wewe kufika hapo hapo ulipofika.

Huwa nashangaa mke au mume kukataa kusaidia ndugu wa mwenza wake au hata marafiki pale ambapo uhitaji unahitajika!!!! Huku uwezo wa kusaidia anao..... Na hapo anasahau pengine baba au mama kawezeshwa sana misaada sana mpaka yeye anafika wakati wa kuweza kusimama mwenyewe.,.,..
Nitawezesha na kusaidia kadri ya uwezo wangu na sitatupa mtu.
 
Ndugu saidia 1%, hizo 20% nyingi sana ! Hawanaga shukrani ukiyumba ndo hao hao watakusema na kukutenga
 
Kwa waafrika asilimia kubwa tunaishi kwa kusaidiana na pengine hapo ulipofika uliwezeshwa kwa namna moja au nyingine!!!! Na pia hata mzazi wako inawezekana alisaidiwa au aliwezeshwa mpaka wewe kufika hapo hapo ulipofika.

Huwa nashangaa mke au mume kukataa kusaidia ndugu wa mwenza wake au hata marafiki pale ambapo uhitaji unahitajika!!!! Huku uwezo wa kusaidia anao..... Na hapo anasahau pengine baba au mama kawezeshwa sana misaada sana mpaka yeye anafika wakati wa kuweza kusimama mwenyewe.,.,..
Nitawezesha na kusaidia kadri ya uwezo wangu na sitatupa mtu.

Kuna wamekulia maisha ya uchokoraa.
Wamejikuza wenyewe.

Kwa waliosaidiwa mnadeni la kusaidia
Kwa ambao hawajasaidiwa hawana deni.

So kila mmoja kwenye hicho kipengele yupo sahihi.

Tatizo ni pale Mtu kasaidiwa alafu hataki kusaidia wengine akiinuka
 
Back
Top Bottom