8 - 2

Consigliere

Platinum Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
12,689
Reaction score
26,568
Leo ni tarehe 8 - 2, kilichonishangaza ni watu fulani walipokuta nimeandika sehemu hizo namba, wao bila ya kuuliza wakaamua kunikasirikia siku nzima.

Nilipochunguza, nikagundua kuwa ni mashabiki wa Arsenal

Kwani kuna tatizo gani kuandika 8-2?.
 
sababu maana yake ni 6.
Labda kwao 6 ni tusi
 
Sijaelewa kabisa!!

Unamaanisha uliaNDIKA hivyo sehemu?
 
ENIGMATIC YOU HAVE BECOME. Like an underling you have writen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…