Consigliere Platinum Member Joined Sep 9, 2010 Posts 12,689 Reaction score 26,568 Feb 8, 2012 #1 Leo ni tarehe 8 - 2, kilichonishangaza ni watu fulani walipokuta nimeandika sehemu hizo namba, wao bila ya kuuliza wakaamua kunikasirikia siku nzima. Nilipochunguza, nikagundua kuwa ni mashabiki wa Arsenal Kwani kuna tatizo gani kuandika 8-2?.
Leo ni tarehe 8 - 2, kilichonishangaza ni watu fulani walipokuta nimeandika sehemu hizo namba, wao bila ya kuuliza wakaamua kunikasirikia siku nzima. Nilipochunguza, nikagundua kuwa ni mashabiki wa Arsenal Kwani kuna tatizo gani kuandika 8-2?.
Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,987 Reaction score 24,226 Feb 8, 2012 #2 sababu maana yake ni 6. Labda kwao 6 ni tusi
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 Feb 8, 2012 #3 Sijaelewa kabisa!! Unamaanisha uliaNDIKA hivyo sehemu?
Amyner JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 2,396 Reaction score 882 Feb 8, 2012 #4 Sijakuelewa hata mimi....
doctorz JF-Expert Member Joined Aug 10, 2010 Posts 916 Reaction score 230 Feb 8, 2012 #5 ENIGMATIC YOU HAVE BECOME. Like an underling you have writen.
Consigliere Platinum Member Joined Sep 9, 2010 Posts 12,689 Reaction score 26,568 Feb 8, 2012 Thread starter #6 Lizzy said: Sijaelewa kabisa!! Unamaanisha uliaNDIKA hivyo sehemu? Click to expand... Lizzy niliandika hivyo na matokeo yake ni as stipulated above.
Lizzy said: Sijaelewa kabisa!! Unamaanisha uliaNDIKA hivyo sehemu? Click to expand... Lizzy niliandika hivyo na matokeo yake ni as stipulated above.
Erickb52 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 18,554 Reaction score 11,485 Feb 8, 2012 #7 8-2 haiwezekani inabidi kukopa
Consigliere Platinum Member Joined Sep 9, 2010 Posts 12,689 Reaction score 26,568 Feb 8, 2012 Thread starter #8 Amyner said: Sijakuelewa hata mimi.... Click to expand... Ila nasikia kuwa waliokasirika wote ni mashabiki wa Arsenal
Amyner said: Sijakuelewa hata mimi.... Click to expand... Ila nasikia kuwa waliokasirika wote ni mashabiki wa Arsenal
Muuza Sura JF-Expert Member Joined Aug 1, 2011 Posts 1,985 Reaction score 1,352 Feb 8, 2012 #9 Erickb52 said: 8-2 haiwezekani inabidi kukopa Click to expand... Angetumia MAGAZIJUTO!!!!hiyo 6 angeitafutia K.D.S katika nusu mara kitako mara wima!jibu lake angetafuta KIPENYO
Erickb52 said: 8-2 haiwezekani inabidi kukopa Click to expand... Angetumia MAGAZIJUTO!!!!hiyo 6 angeitafutia K.D.S katika nusu mara kitako mara wima!jibu lake angetafuta KIPENYO
N Ndekapawayowa Member Joined Dec 18, 2010 Posts 14 Reaction score 3 Feb 9, 2012 #10 Muuza Sura said: Angetumia MAGAZIJUTO!!!!hiyo 6 angeitafutia K.D.S katika nusu mara kitako mara wima!jibu lake angetafuta KIPENYO Click to expand... ManSix
Muuza Sura said: Angetumia MAGAZIJUTO!!!!hiyo 6 angeitafutia K.D.S katika nusu mara kitako mara wima!jibu lake angetafuta KIPENYO Click to expand... ManSix