7 wauawa wakitoka msikitini huko kenya.

7 wauawa wakitoka msikitini huko kenya.

Status
Not open for further replies.
Waliouwawa ni waumini wakiislamu! sasa mkuu Funge waliowauwa ni Al shabaab..sidhani kama utakuwa sahihi kuwaunganisha na waislamu mpaka useme hvyo.
Hawana tofauti kiimani, ila ni timing tu. Hata hao waliokuwa wanatoka msikitini kama wangekuwa wamewaona Al Shabab mapema, basi wao ndio wangewaua Al shabab
 
Hawana tofauti kiimani, ila ni timing tu. Hata hao waliokuwa wanatoka msikitini kama wangekuwa wamewaona Al Shabab mapema, basi wao ndio wangewaua Al shabab

Sinkala Tell me that ur not serious..
 
Last edited by a moderator:
Akikosekana mkristo wa kuchinja huwa wanachinjana wenyewe kwa wenyewe
Hahaha hivi nyie wakristo mnadini nyie, si unajua hata wa Islam sio wote wanao amini Uislam, na wako wanasema Jesus hajafa yani yuko mbinguni...Yani sio wa Islam wote wanajua Jesus kisha kufa na mtu akisha kufa kafa tu.

Quran inasema Yesu kisha kufa na harudi tena mpaa siku tunafufuliwa wote, ndo mana yake hakuna Prophet atakaye tokeza tena zaidi ya Prophet Muhammad peace upon him.

Jesus will not return according to Quran.

 
Last edited by a moderator:
Mkuu fazaa kuna mtu anaitwa TUKUTUKU ye anamwamini yesu lakini siyo kupitia akina mtume paulo ila kupitia mtume mohamed, sema ule uzi wa mafundisho ulitolea kabla sijapata ile elimu vizuri.
 
Last edited by a moderator:
dah xaxa hapo akitokea mjinga mmoja akisema ameuliwa na wakristo atakubali, tuachaneni na mashindikizo jamani.
 
Al-shabaab ni magaidi. na siyo waislamu wote magaidi...upo!
al-shabab wote ni waislam lakini si waislam wote ni aal-shabab. Kwa hiyo kama al-shabab (waislam) ndo wameuwa hao waislam 7, basi hapo ni waislam kwa waislam wameuwana. PAMOJA NA HAYO BADO HILI SI JAMBO JEMA
 
tuombe amani duniani watu wengi wanateketea bila sababu
 
al-shabab wote ni waislam lakini si waislam wote ni aal-shabab. Kwa hiyo kama al-shabab (waislam) ndo wameuwa hao 7, basi hapo ni waislam kwa waislam wameuwana. PAMOJA NA HAYO BADO HILI SI JAMBO JEMA

Si jema kwl
 
Nimesoma sana na sio kolani ni quran..na sio ufuzu ni juzuu!!
bado mwanangu hujafuzu! weye bado muislamu na sio muumini! Waumini ni shehe arhum osama! Boko haram! Al qaida wale wanaosakwa mali kama minokela wanaitwaje!...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom