7 wauawa wakitoka msikitini huko kenya.

7 wauawa wakitoka msikitini huko kenya.

Status
Not open for further replies.

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,295
Reaction score
17,789
Watu saba leo wameuawa wakitoka msikitini huko kenya. Al. Shabab wanahusika, waliwapiga risasi wakitoka kwenye maombi ya asubuhi, karibu na msikiti mmoja huko kaskazini mwa kenya. inasemekana ni tukio la kulipiza kisasi.
source_ bbc swahili.
 
Akikosekana mkristo wa kuchinja huwa wanachinjana wenyewe kwa wenyewe
 
Wao kwa wao sasa..
Huko pakistan pia suni wanawachinja shia
 
Akikosekana mkristo wa kuchinja huwa wanachinjana wenyewe kwa wenyewe

Waliouwawa ni waumini wakiislamu! sasa mkuu Funge waliowauwa ni Al shabaab..sidhani kama utakuwa sahihi kuwaunganisha na waislamu mpaka useme hvyo.
 
Last edited by a moderator:
Wakristo wa kweli wanasikitika kila roho inapopotea, hasa roho ambayo ilikuwa bado haija kiri kuwa YESU NI BWANA. Kwa masikitiko makubwa, napenda kuungana na wote wapenda amani kulaani kitendo hicho, na tunawapa pole wote waliofikwa na msiba. Tunazidi kusisitiza kuwa "HAKUNA NA HAKUTAKUWA NA GHASIA YOYOTE, BAINA YA WAKRISTO WA KWELI, NA WAISLAMU WA KWELI" yote tunayoyaona ni kati ya mashabiki wa Wakristo na mashabiki wa Waislamu, wale ambao maskini hawajui hata makanisa wala miskiti imeelekea wapi???? Poleni sana. Wakristo wote wa kweli Tunaungana katika kulaani machafuko yanayoendelea kote nchini, nasi tutazidi kumlilia Mungu, arejeshe roho za wote wasioijua kweli, pamoja na kuzifunga nguvu za kuzimu ili wote wanao hubiri na kuandaa mauaji na machafuko hayo, washindwe katika jina la YESU.
 
...da!, poleni sana...ni mapenzi ya mungu.
 
Walazwe panapostahili.....amen.
Waliuawa kwa kisasi cha nini??
 
watu saba leo wameuawa wakitoka msikitini huko kenya. Al. Shabab wanahusika, waliwapiga risasi wakitoka kwenye maombi ya asubuhi, karibu na msikiti mmoja huko kaskazini mwa kenya. Inasemekana ni tukio la kulipiza kisasi.
Source_ bbc swahili.

Kumbe, wakiuwawa waislamu ni wao kwa wao wenyewe?? Ilikua sijajua. Sidhani kama F.B.I wanahitajika kuenda huko.
 
Kumbe, wakiuwawa waislamu ni wao kwa wao wenyewe?? Ilikua sijajua. Sidhani kama F.B.I wanahitajika kuenda huko.

Al-shabaab ni magaidi. na siyo waislamu wote magaidi...upo!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom