7 things Bill Gates predicted 18 years ago that have already come true

Ila still Gates ni mchumba kwa Jobs na angekua mzima wanaestimate kwamba angekua don kuliko bill apple yenyewe si ipo kwenye top 10 ya kampuni kubwa duniani
Gates ni namba ingine ile kwanza yuko Good sana kwenye swala la management ambalo linafanya aongoze kwa pesa Planning ni kitu good, Jobs Ni mzuri pia
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hivi inaweza kua sababu hadi mpaka leo Microsoft softwares zinatumika maofisini, mashuleni kuliko apple
Microsoft ka dominate huko.
But there were times ambapo they came together mfano apple walipo muinvite microsoft asaidie ku develope soft ya office kwa ajili ya pc zao.
Nadhani microsoft now anajaribu ku adapt ways of doing things kama apple, huoni amejaribi kwenye sim kutengeneza os na simu but kafail.
Ila kwenye pc anakuja vizuri surface aisee ni tamu hatari.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Gates ni namba ingine ile kwanza yuko Good sana kwenye swala la management ambalo linafanya aongoze kwa pesa Planning ni kitu good, Jobs Ni mzuri pia
Gates anaongoza kwa pesa kwakuwa ana shares nyingi microsoft compared to steve ambaye aliuza shares zake nyingi pale apple kipindi amefukuzwa baada ya kumleta ceo wa pepsi I guess akaonekana ni potential kuliko yeye wakataka ceo aliyeletwa awe juu ya steve, steve akagoma na mwisho akaondoka kauza baadhi ya share zake na kwenda kuanzisha kampuni ya NEXTstep.
Asingeuza shares zake I guess the man angekufa akiwa tajiri sana kuliko gates.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Steve Jobs ni hataree jaribu kucheki uwezo tu wa kamera na ugumu wa i-phone3 ni kama imetengenezwa last year kumbe ni 2009 sijui 2010
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hiyo ya kwanza na pili umechapia mtu aliyezungumza

la kwanza na pili ni Nikola Tesla ....scientist wa hatari

kutokea duniani.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sijui kuhusu la steve kuwa angekuwa na ela kuliko gates.
But steve alikuwa mtu mmoja selfish na arrogant sana.
Sema his legacy inaficha sana his dark side.
Sema he believed and did exactly what he believed in, there was no way you could change his mind from what he believed in hata kama atafail.
Hata kuhusu kansa yake, walipogundua ana kansa ya kongosho walitaka wamfanyie operation mapema akaleta ubishi eti kuna tiba mbadala akaanza kunywa juice za carrot na kula matunda na mboga za majani.
Alipokuja realize kuwa anazidi kuumwa it was too late hata alipokubari fanyiwa operation ilikuwa ishasambaaa
Nimekubali Mzee Baba
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Habari imeandikwa mwaka gani? Miaka 18 iliyopita wahenga tulikuwa tunatumia cellphones tayari.

Tena hata si za mshindi,hapo mshindi ndo zimeondoka.

Kama hujui mshindininini, wewe si muhenga, au labda wakuja.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sijui kuhusu la steve kuwa angekuwa na ela kuliko gates.
But steve alikuwa mtu mmoja selfish na arrogant sana.
Sema his legacy inaficha sana his dark side.
Sema he believed and did exactly what he believed in, there was no way you could change his mind from what he believed in hata kama atafail.
Hata kuhusu kansa yake, walipogundua ana kansa ya kongosho walitaka wamfanyie operation mapema akaleta ubishi eti kuna tiba mbadala akaanza kunywa juice za carrot na kula matunda na mboga za majani.
Alipokuja realize kuwa anazidi kuumwa it was too late
hata alipokubari fanyiwa operation ilikuwa ishasambaaa

Akili za Chattle
 
Pamoja sana mkuu.
He was arrogant, ndiyo maana watu wote alianza nao apple waliondoka na hakuna hata mmoja mwenye share.
Wozniak aliondoka na yule mzee jina lake nimesahau yeye alijiondoa mapema akauza share zake $ 800.
Asingeuza leo zingekuwa na thamani ya $ 34 bilions.
But ndiyo hivyo yupo kafulia balaa na uwa hatajwi tajwi kama mwanzilishi wa apple wakati hata logo ya kwanza na na memorandum aliandaa yeye huyo mzee.
Mzee aligive Up mapema sana
 
Jamaa yupo anakula zake maisha ni milionea tu na he has no regrets kwa kujiondoa apple maana anadai angekufa kwa kihoro.
Baada ya kampuni kukua steve was no longer the steve he knew nor a friend
Hela inabadilisha
 
Microsoft ka dominate huko.
But there were times ambapo they came together mfano apple walipo muinvite microsoft asaidie ku develope soft ya office kwa ajili ya pc zao.
Nadhani microsoft now anajaribu ku adapt ways of doing things kama apple, huoni amejaribi kwenye sim kutengeneza os na simu but kafail.
Ila kwenye pc anakuja vizuri surface aisee ni tamu hatari.
Simu za Microsoft naona hazitrend saaaana
 
Habari imeandikwa mwaka gani? Miaka 18 iliyopita wahenga tulikuwa tunatumia cellphones tayari.

Tena hata si za mshindi,hapo mshindi ndo zimeondoka.

Kama hujui mshindininini, wewe si muhenga, au labda wakuja.
IMG_20170401_112003.jpg
 
Mzee aligive Up mapema sana
Na kapigika vibaya sana maana yeye alikuwa mtaalamu wa kutengeneza slot mashine zile za gambling, so pia hakuwahi kuwaza kama apple itakuja kuwa kubwa hivyo.
Baada ya kuondoka apple walimaliza miaka kibao hawawasiliani na steve ila wakati wa uzinduzu wa iphone ya kwanza, anadai from no where akapokea simu toka kwa steve akamwambia amemwandalia tiketi ya ndege go and return na accomodation aende kuhudhuria kuzinduliwa kwa simu ya iphone.
Jamaa akahisi dah steve kanikumbuka kuna something behind it.
Na kweli akaenda kufika kwenye uzinduzu steve akiwa stejini anashusha vitu, mzee akakuta kumbe na wozniak kaalikwa wakawa pamoja wanasubiri steve ashuke wapate piga story labda kuna la ziada.
Eti alishangaa alipoteremka baada ya uzinduzi aliwafuata akawambia kuwa it was nice meeting them basi akaondoka.
Mzee anasema ilikuwa kama kunwambia kilichokuleta kimeisha sepa.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom