Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,024
Hawataki kuamini haha
Hahaha!, hawataki na wanaogopa kuamini.
Umemuona na Eddy hapo eti anadai tunadidimiza familia sasa sijui kivipi, nahisi ndo kaamka.
Hawataki kuamini haha
A hahaha gaaaalEti??!,...Naona device yako inaisha charger cos sijakupata vizuri.
Kuwatambua kama mtakuwa mizigo huko mbele ni kudidimiza familia?
Teh me sijaelewa honestlyHahaha!, hawataki na wanaogopa kuamini.
Umemuona na Eddy hapo eti anadai tunadidimiza familia sasa sijui kivipi, nahisi ndo kaamka.
Teh me sijaelewa honestly
Pole sana.Sana.
Imepenya eeh!!!HUU UZI WANAWAKE WANAUSIFIA SANA ILA MNGEJUA BORA MNGEKAA KIMYA TU
Ukweli mchungu uh!!!Mambo yote uliyo ya weka ni ukenge ukenge tu be who you are
I love son kwakwelii ule mbogamboga na matunda sana upunguze chips
MhhhHutaki kuamini au?
ukwel mbn mtamu kabisaa huu? its encouraging kumbe mnasmell mpaka future? wengi wenu wanaodeal na present continous status huwa wananiudhi sana....Ukweli mchungu uh!!!
Present continous status nayo ni tamu ujue, usimshangae anaedeal na hiyo ashafanya calculations zake kaona hapo ndipo panamfaa, habari za kuungua juani weee baadae kivulini, wakati ana uhakika wa kivuli allready ya nini sasa!!! Kila mtu na mtuwe bwana.ukwel mbn mtamu kabisaa huu? its encouraging kumbe mnasmell mpaka future? wengi wenu wanaodeal na present continous status huwa wananiudhi sana....