5 Januari 2011: Arusha Liberation.

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,380
Niliamua kuandika kijarida hiki ili kulinda na kutetea haki ya mnyonge ikiwemo tukio la maandamo Arusha yaliyosababisha baadhi ya watu kupoteza maisha.
Kwa kumbukumbu hiyo basi tuungane kuwaombea jamaa zetu wapate haki mbele za Mungu. Jarida hili nilitumia Pio JINA langu utawa. Nimea attach.

Deogratius Kisandu.
 

Attachments

  • 2.Ukombozi caver-1 copy.jpg
    2.Ukombozi caver-1 copy.jpg
    592.8 KB · Views: 27
Natumaini pia ulimuhoji "mwenyekiti" kuhusu ule ushahidi wa video clip aliotishia kiuweka wazi in 2 months..mpaka leo naona kimyaaa
 
Back
Top Bottom