Fab
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 757
- 14
wapare wanakeketa usibishe
mnh labda wewe ndio Ngariba wao...!
wapare wanakeketa usibishe
Kwa taarifa yako mimi ni mtu niliye huru sana, labda wewe ndiye unahitaji kukombolewa. Hivi vitu dada yangu huvijui kabisaa, umekalia mambo ya kuambiwa sijui kusimuliwa ukichanganya na mama na dada zako kuachika basi umejaa ma-stress. Na ndio sababu sasa umekuwa embarrassed!! any way pole sana bibie.
Mimi ndiye naufahamu uzuri na ubaya wa mila zetu, sio wewe mchaga mama yangu. Gaijin amenielewa vizuri ninachozungumza, labda atakusaidia kukuelewesha. Nataka nikuhakikishie kwa mara nyingine, when it comes kwenye mila na utamaduni wangu ninaufahamu ubaya wake na uzuri wake wala huwezi kunidanganya katu. Na hata hatua zilizofikiwa katika issue hii ni kubwa sana. Serikali yenyewe ilianza kwa kutunga sheria kwenye wilaya ili kuwadhibiti watu lakini ilishindwa baada ya kutambua nguvu ya mila na wenye mila wenyewe, je unajua kilichofuata? je umejiuliza kwanini OCD alikuwa anashangaa? Elimu imekuwa ikitolewa hatua kwa hatua na huko mbeleni hii kitu itaisha tu lakini si haraka kama unavyotaka wewe. nilimwambia Gaijin mahalikwamba siku hizi wanakata ki-ccm, kama ukitaka kujua nini maana ya ki-ccm, tafuta muda wako uende Mara ukajifunze, najua moshi mnakeketa lakini ya kwenu ni tofauti na sisi! wakurya tuna waheshimu sana wazee wa mila, utasema mila potofu, sawa, lakini hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo leo. wakurya tunazidi kuongezeka kama yalivyo makabila mengine. Tuna familia zetu kizazi hadi kizazi na afya tele, na wakurya tunajua kutunza familia na tunaheshimu na kutambua ndoa na familia za wengine, upo hapo? tunayatambua mazingira yetu na tunakabiiana nayo vilivyo na tuna furahia Mungu kutuumba wakurya!!
i'm out for now, kama kuna issue zaidi tuonane jumatatu, naenda kusakata "litungu", unaifahamu hiyo kitu Fab?
ndio maana mama yako aliachwa maana nyoka hazai churamnh labda wewe ndio Ngariba wao...!
ndio maana mama yako aliachwa maana nyoka hazai chura
bek to ze topik: kilio chenu kimeskika, nitaitisha kikao cha zarura leo na wanabodi wa mikoa husika, consider that solved. msisite kuweka malalamiko yenu hazarani ili mapedeshee tuyashuhulikie. ahsanteni sana.
Hata sijaelewa nini mnabishana. Hivi hamjui kuwa hao wanao keketwa wanafurahia kupata nafasi ya kukeketwa na asipo keketwa anajiona si mmoja wa wanawake wazuri katika jamii yake. Mungu atusamehe.