Tayari mkuu mie kwangu jana walini add kwenye 4g yao tena bila kubadili line mpaka nikashangaa.. ikabidi niitest kwenye modem zingine na nikaona kweli imeshika 4g..
Tayari mkuu mie kwangu jana walini add kwenye 4g yao tena bila kubadili line mpaka nikashangaa.. ikabidi niitest kwenye modem zingine na nikaona kweli imeshika 4g..