40. Kwanini 40

40. Kwanini 40

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
Nisaidie kujibu Swali Hili! "KWA
NINI 40?"
Akizaliwa Mtoto Anatolewa Nje
Baada Ya Cku 40,
Mtu Akifa Siku Ya 40 Anafanyiwa
Ibada/Matanga. NUHU Alitengeneza
Safina kwa Muda Wa Miaka 40!
Mvua Ya Garika Ilinyesha Cku 40!
Za mwizi 40,
Waisrael Walikaa Nyikani kwa Muda
Wa Miaka 40,
YESU Alifunga kwa Cku 40,
Marekani Rais Anaapishwa Baada
Ya Cku 40. Hebu Leo Nipe Jibu
"kwa Nini 40?"
 
sio 40 tu, kuna nyngne wanasema mwaka 47...why not mwaka 48 or else?
 
Mi najua lakini sisemi......chezeya 40 wewe.....
 
Wanazuoni wa elimu ya nambari, uihusisha nambari arobaini na vitu vifuatavyo:
1. Majaribu na mitihani.
2. Mwanzo wa ukurasa mpya au mwanzo wa kizazi kipya.
 
OK....kumbuka 30 ni nusu ya 60 ambayo mwezi hukamilika....40 ni siku ya mwisho kwa angalizo fulani baada ya kupewa 30 ya kutimiza ulicho takiwa kukamilisha au kukitolea majibu...ukishindwa na ukiongezewa 9 ikifika 40 chamoto utakipata
 
hata mie najishangaa kule kwetu nina sentimita '40' umri wangu ni miaka '40'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom