Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Nisaidie kujibu Swali Hili! "KWA
NINI 40?"
Akizaliwa Mtoto Anatolewa Nje
Baada Ya Cku 40,
Mtu Akifa Siku Ya 40 Anafanyiwa
Ibada/Matanga. NUHU Alitengeneza
Safina kwa Muda Wa Miaka 40!
Mvua Ya Garika Ilinyesha Cku 40!
Za mwizi 40,
Waisrael Walikaa Nyikani kwa Muda
Wa Miaka 40,
YESU Alifunga kwa Cku 40,
Marekani Rais Anaapishwa Baada
Ya Cku 40. Hebu Leo Nipe Jibu
"kwa Nini 40?"
NINI 40?"
Akizaliwa Mtoto Anatolewa Nje
Baada Ya Cku 40,
Mtu Akifa Siku Ya 40 Anafanyiwa
Ibada/Matanga. NUHU Alitengeneza
Safina kwa Muda Wa Miaka 40!
Mvua Ya Garika Ilinyesha Cku 40!
Za mwizi 40,
Waisrael Walikaa Nyikani kwa Muda
Wa Miaka 40,
YESU Alifunga kwa Cku 40,
Marekani Rais Anaapishwa Baada
Ya Cku 40. Hebu Leo Nipe Jibu
"kwa Nini 40?"