4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

@la costa. Hv had uwe daktar c unakua umesoma na kufanya fld sasa kama hatakua hajapac coz yake atakuaje doctor na swala la 2.5 c kua hawez bal pac ndogo hata pia m2 mwenye dv.4 yenye credt 3 anweza kupata nafac advanc akapo4m fresh Kulko alye kua n pac ya maana ka div.1 o 2? Na swala lakusoma nje asilimia kubwa wanakua na cutoff ndogo so c wote na hapo zaman walkua wale wanaohkosa muhas hilyo kua taw la udsm mana palkua hapana chuo chengne kabla ya kcmc moshi, Swala la wa2 kufa kwa uzembe wa dactor la kawaida katka kaz sio kwamba n kwasababu ya elm walyo nayo ila axdent ktka kaz hata maruban wazoef wanaangushaga ndege na pia madreva wazoefu vle vle. Mkuu ciamn ka ww unasoma md na ka unasoma kwel bac hujaemeelmka mana ungekua ungelielezea swala hl ksom na c klockal ka hv mana ungeeleza elm ya tz ilvo kua highly composed by theory na cpractical samahan ka ntakua nmekuudh kwa kutumia neno 'hujaelmka' mana lengo n kukutaka angalau uwe na GT vision. nasbmt

Hivi ukiandika vizuri bila kufupisha utakufa?
 
Jaman kuna kachuo kameongezwa 2nd round selection n kabranch cha SAUT kako Songea kana doctor of medicine so kama pcb na cbg unaomba through tcu kwa walio kosa na kama ulshachagua chuo kngne unapga mshe ya kuhama mana cutoff itakua ndogo sana hata 2.5 unapata, kwa wale wa pcm unaomba directry kwa chuo.

Doctor of medicine ni PCB tu for direct entrants!
 
@la costa. Hv had uwe daktar c unakua umesoma na kufanya fld sasa kama hatakua hajapac coz yake atakuaje doctor na swala la 2.5 c kua hawez bal pac ndogo hata pia m2 mwenye dv.4 yenye credt 3 anweza kupata nafac advanc akapo4m fresh Kulko alye kua n pac ya maana ka div.1 o 2? Na swala lakusoma nje asilimia kubwa wanakua na cutoff ndogo so c wote na hapo zaman walkua wale wanaohkosa muhas hilyo kua taw la udsm mana palkua hapana chuo chengne kabla ya kcmc moshi, Swala la wa2 kufa kwa uzembe wa dactor la kawaida katka kaz sio kwamba n kwasababu ya elm walyo nayo ila axdent ktka kaz hata maruban wazoef wanaangushaga ndege na pia madreva wazoefu vle vle. Mkuu ciamn ka ww unasoma md na ka unasoma kwel bac hujaemeelmka mana ungekua ungelielezea swala hl ksom na c klockal ka hv mana ungeeleza elm ya tz ilvo kua highly composed by theory na cpractical samahan ka ntakua nmekuudh kwa kutumia neno 'hujaelmka' mana lengo n kukutaka angalau uwe na GT vision. nasbmt
Samahani mdogo wangu...naomba kajifunze kuandika ukishaweza njoo urudie huu ujumbe...sijakuelewa kwa kweli...!!
 
Samahani mdogo wangu...naomba kajifunze kuandika ukishaweza njoo urudie huu ujumbe...sijakuelewa kwa kweli...!!

kwel mana hata wengne hawakuelewa.. Ila hata hvo kutokuelewa cio hapa 2 inaonyesha n kawaida yako na itakuchukua muda mrefu kuelmika kaka ila ucjal n matatzo ya kigenetic 2.
 
kwel mana hata wengne hawakuelewa.. Ila hata hvo kutokuelewa cio hapa 2 inaonyesha n kawaida yako na itakuchukua muda mrefu kuelmika kaka ila ucjal n matatzo ya kigenetic 2.

Usielewa ni wewe kilaza uliefeli halafu unataka mambo makubwa...kama una ubavu weka jina lako hapa tuangalie nina uhakika una three ya mwisho au 4 kabisa na ukifanya hivyo mimi nakuapia naweka vyeti vyangu hapa watu waamue nani ana kansa ya ubongo....ati unataka udaktari....hata uganga majimarefu hufai ...i wont argue with a fool bcoz u will bring me down to u r level and beat me with experience...
 
Usielewa ni wewe kilaza uliefeli halafu unataka mambo makubwa...kama una ubavu weka jina lako hapa tuangalie nina uhakika una three ya mwisho au 4 kabisa na ukifanya hivyo mimi nakuapia naweka vyeti vyangu hapa watu waamue nani ana kansa ya ubongo....ati unataka udaktari....hata uganga majimarefu hufai ...i wont argue with a fool bcoz u will bring me down to u r level and beat me with experience...

nomaly nakwambia sio hum wote n maGT, pac zako kubwa n faida yako na ndugu zako cc haztuhusu. Mkuu humu ss maGT ha2ongei mambo ya kiumbea na yasiyo kua na hekma ambayo yako facebook just come guy hii jf bhana lete point ambazo zta2jenga kwamfano kama mada ye2 we kama unayejihta doctor ungezungumzia k2 kinahtwa 'anatomy' na kuna k2 kinahtwa 'human physiology' il huusianshe na 2.5 il kuonyesha kua n vgum kusoma madude kama hayo na ckukmbilia sifa mkuu c facebook hapa pa kuuzia sura ka hvo vyet vyako vfanye vwe profile pct yako huko kwenye mtandao jamii ya kuuzia sura utapata sifa sana, pia naongezea kwa faida yako mm nmesoma pcb nna pac ya maana na nnakwenda kujpigia pharmacy mana md cjahpenda. Nawaslsha
 
Kama anafanya hivyo ni kukiuka taratibu! You need physics to be enrolled in medicine.

hvo n kulngana na nchi ye2 tz kua uwe na physics a-levo lengo kwakua tz kuna vuo vchache ko hyo hlkua inamnyma cfa cbg kusoma md na kumpa cfa pcb, lakn kiuhalcia physics ya o-levo inatosha kumpa cfa cbg kusoma md kwahyo nch nyngne wanafanya hvo zkruhusu anayetaka soma md awe na principo pac katka C na B(chem na biol)
 
Ongeeni yote mnayoyaweza lakini heshima ya nani alifaulu sana au hakufaulu sana itaonekana pale ambapo utakuwa unahudumia jamii, na kufaulu sana au kufeli sana haimaanishi unauelewa mkubwa au mdogo kikubwa ni kuifahamu vizuri kazi unayoenda kuifanya na uwezo wa kuifanya watu wakakukubali
 
nomaly nakwambia sio hum wote n maGT, pac zako kubwa n faida yako na ndugu zako cc haztuhusu. Mkuu humu ss maGT ha2ongei mambo ya kiumbea na yasiyo kua na hekma ambayo yako facebook just come guy hii jf bhana lete point ambazo zta2jenga kwamfano kama mada ye2 we kama unayejihta doctor ungezungumzia k2 kinahtwa 'anatomy' na kuna k2 kinahtwa 'human physiology' il huusianshe na 2.5 il kuonyesha kua n vgum kusoma madude kama hayo na ckukmbilia sifa mkuu c facebook hapa pa kuuzia sura ka hvo vyet vyako vfanye vwe profile pct yako huko kwenye mtandao jamii ya kuuzia sura utapata sifa sana, pia naongezea kwa faida yako mm nmesoma pcb nna pac ya maana na nnakwenda kujpigia pharmacy mana md cjahpenda. Nawaslsha

Facebook nenda ww usiyejua kuandika ukpost picha na ushuzi ulioleta hapa ati 2.5 waende md...mi nshakwambia kama umefaulu usingeleta hii hoja...2.5 hata AMO hupokelewi....na hiyo famasia unayoenda kusoma nina uhakika sio muhimbili,kcmc labda st john ya dodoma au chuo chako hapo juu maana kama wanapokea 2.5 md basi pharmacy hata 1.5 utaenda tu....soma post kuanzia mwanzo ni nani kaanza kuchafua hewa humu ndani! Kila mwenye uelewa kakupinga kuwa 2.5 md ni janga ww na ukilaza wako unalazimisha hoja na kuattack watu....
 
Jamn mmennot vbaya cjasema kua cutoff n 2.5 ila nmesema "hata wenye 2.5 wanaweza wakapata" c vingnevo wakuu lakn cutoff n 4.5.

Cut off points ni 4.5 sasa wa 2.5 atachukuliwaje???
huyo yuko "NOT ELIGIBLE" kijana!! acha kutuchezea akili
 
enoc hapo umemaliza.kama aliyepata 1 olevel akapata 0 a level na aliyepata 3 o level ndiye aliye pata 1 alevel tuna shangaa nini sasa?
 
Facebook nenda ww usiyejua kuandika ukpost picha na ushuzi ulioleta hapa ati 2.5 waende md...mi nshakwambia kama umefaulu usingeleta hii hoja...2.5 hata AMO hupokelewi....na hiyo famasia unayoenda kusoma nina uhakika sio muhimbili,kcmc labda st john ya dodoma au chuo chako hapo juu maana kama wanapokea 2.5 md basi pharmacy hata 1.5 utaenda tu....soma post kuanzia mwanzo ni nani kaanza kuchafua hewa humu ndani! Kila mwenye uelewa kakupinga kuwa 2.5 md ni janga ww na ukilaza wako unalazimisha hoja na kuattack watu....

kaka samahan ctaendelea kukujbu mana kwanza umejaza ma2c kchwan na hauna point zenye mashko na pil katka swala zma la vyuo vinavotoa degree za afya hapa nchin hauna ufaham wa kutosha mana kcmc hakuna pharmacy na pharmacy yenye cutoff ndogo zaid haipo st.john pia hako ka chuo cha saut songea hakana pharmacy huo n ushahd tosha kwamba wewe hujawai kusoma pcb ila umejaza kchwa chako majvuno yasio na msing ya kuropoka napenda kukutaharf kua kama kwel ndo uko hv ww c weakthinker na wache 2 wenzako wanao elewa kama hapo juu ndo 2badlshane mawazo na ufund. Hauna adh ya kuchangia hil jambo mkuu tafakar, kua na aibu, jfunze kutokurupukia mada, na jshangae pale unapo 2mia ma2c na majvuna af unayejbzana naye ana2mia hoja zenye hekima. Nanukuu "anaye jiona anajua kumbe hajui yeye n mpumbayu" wakuu hii n nukuu c kua nmem2kana mkuu hapa. Nawaslsha
 
Cut off points ni 4.5 sasa wa 2.5 atachukuliwaje???
huyo yuko "NOT ELIGIBLE" kijana!! acha kutuchezea akili
hyo n kwel mkuu n 4.5 lakn ukiangalia post angu ckusema kwamba cutoff n 2.5 nlsema kwamba hata wenye 2.5 wanaweza pata, na naomba kukufahamsha mkuu kua kuwa not-eligible sio huchaguliw labda sema kwa vyuo vya government c rahc kuchaguliwa lakn kuna baadh ya facuty ambazo hazna waombaj weng wanapata, hako kachuo n privet wanatafuta hela cio cutoff ilmrad 2 icpungue principo pac mbil mkuu nawaslsha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom