4 pcb, cbg & pcm takerz graduatec 2012 only

enoc

Member
Aug 11, 2012
86
5
Jaman kuna kachuo kameongezwa 2nd round selection n kabranch cha SAUT kako Songea kana doctor of medicine so kama pcb na cbg unaomba through tcu kwa walio kosa na kama ulshachagua chuo kngne unapga mshe ya kuhama mana cutoff itakua ndogo sana hata 2.5 unapata, kwa wale wa pcm unaomba directry kwa chuo.
 
Ulsha ckia clinical-officer kaua m2 kwa elm yake, je wanao kwenda kusoma nchi za md wanakua na ngap na waksha ukwaa umeckia wameua wangap?
 
Ulsha ckia clinical-officer kaua m2 kwa elm yake, je wanao kwenda kusoma nchi za md wanakua na ngap na waksha ukwaa umeckia wameua wangap?

sijakuelewa? Unataka kusema wanaosoma nje medicine hawana points nzuri au? Maana mi mmoja wapo ndugu na nitakuomba unitake radhi....ushafanya uchunguzi kuhusu utendaji wa clinical officers? Wanafanya mismanagements za kipumbavu sana ila kwa sababu wananchi hamna elimu mnadhani wako vizuri...juzi wameua binti wa watu buguruni kwa kushindwa kutambua severe anemia japo kwa macho tu....2.5 kwa md hapo kazi ipo...
 
sijakuelewa? Unataka kusema wanaosoma nje medicine hawana points nzuri au? Maana mi mmoja wapo ndugu na nitakuomba unitake radhi....ushafanya uchunguzi kuhusu utendaji wa clinical officers? Wanafanya mismanagements za kipumbavu sana ila kwa sababu wananchi hamna elimu mnadhani wako vizuri...juzi wameua binti wa watu buguruni kwa kushindwa kutambua severe anemia japo kwa macho tu....2.5 kwa md hapo kazi ipo...

Nashukuru mkuu kwa kumwonyesha njia kipofu
 
na wewe unataka medicine?au umekosa chuo? Usiwe na hofu,apply chuo cha mdau hapo juu hata kama una pointi 2...

dah! point 2 ni udhaifu mkubwa sana mkuu..hao ndo wale wa opareshen ya kichwa badala ya mguu..hii taaluma ya udaktari wamesha anza kuidharau sana mbona pharmacy admission points ni kubwa vyuo vyote me nadhani vyuo vyote vya udaktari admission ingeanza angalau 5 points
 
@la costa. Hv had uwe daktar c unakua umesoma na kufanya fld sasa kama hatakua hajapac coz yake atakuaje doctor na swala la 2.5 c kua hawez bal pac ndogo hata pia m2 mwenye dv.4 yenye credt 3 anweza kupata nafac advanc akapo4m fresh Kulko alye kua n pac ya maana ka div.1 o 2? Na swala lakusoma nje asilimia kubwa wanakua na cutoff ndogo so c wote na hapo zaman walkua wale wanaohkosa muhas hilyo kua taw la udsm mana palkua hapana chuo chengne kabla ya kcmc moshi, Swala la wa2 kufa kwa uzembe wa dactor la kawaida katka kaz sio kwamba n kwasababu ya elm walyo nayo ila axdent ktka kaz hata maruban wazoef wanaangushaga ndege na pia madreva wazoefu vle vle. Mkuu ciamn ka ww unasoma md na ka unasoma kwel bac hujaemeelmka mana ungekua ungelielezea swala hl ksom na c klockal ka hv mana ungeeleza elm ya tz ilvo kua highly composed by theory na cpractical samahan ka ntakua nmekuudh kwa kutumia neno 'hujaelmka' mana lengo n kukutaka angalau uwe na GT vision. nasbmt
 
Umesema hadi CBG wanapokelewa hapo kwaajili ya kusomea medicine?Halafu cuttoff point ni 2.5 kwa masomo mawili yaani E ya chemistry na Biology na S ya GS? Kweli hii serikali kiboko naona wameanza hujuma mapema kuishushia hadhi taaluma ya udaktari ili na wao waanze kuonekana kama kada nyingine!Chezea magamba weyeeeee!!!!
 
Jamn mmennot vbaya cjasema kua cutoff n 2.5 ila nmesema "hata wenye 2.5 wanaweza wakapata" c vingnevo wakuu lakn cutoff n 4.5.
 
jac Na wewe pia umesoma 2komb twe2 hutwo? Kwa kwel kama n m2 ambaye amesoma science advanc unafahm fka hzo mambo lakn ka ulhkimbia science tangu 4m 3 uwez kupata pcha kwa mtazamo wa kujvuna ka 2lio nao walio fel scienc ktambo
 
Last edited by a moderator:
@la costa. Hv had uwe daktar c unakua umesoma na kufanya fld sasa kama hatakua hajapac coz yake atakuaje doctor na swala la 2.5 c kua hawez bal pac ndogo hata pia m2 mwenye dv.4 yenye credt 3 anweza kupata nafac advanc akapo4m fresh Kulko alye kua n pac ya maana ka div.1 o 2? Na swala lakusoma nje asilimia kubwa wanakua na cutoff ndogo so c wote na hapo zaman walkua wale wanaohkosa muhas hilyo kua taw la udsm mana palkua hapana chuo chengne kabla ya kcmc moshi, Swala la wa2 kufa kwa uzembe wa dactor la kawaida katka kaz sio kwamba n kwasababu ya elm walyo nayo ila axdent ktka kaz hata maruban wazoef wanaangushaga ndege na pia madreva wazoefu vle vle. Mkuu ciamn ka ww unasoma md na ka unasoma kwel bac hujaemeelmka mana ungekua ungelielezea swala hl ksom na c klockal ka hv mana ungeeleza elm ya tz ilvo kua highly composed by theory na cpractical samahan ka ntakua nmekuudh kwa kutumia neno 'hujaelmka' mana lengo n kukutaka angalau uwe na GT vision. nasbmt

wewe ulistahili husome hkl nashangaa pcb umefuata nini
kwa sababu unamaneno mengi sana
hapo ulibaka kombi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom