338 wafariki kutokana na kipindupindu

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,296
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema kuanzia mwezi wa 9 mwaka jana kulipotokea mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu hadi mwisho wa mwezi wa tano mwaka huu jumla ya watu 21,634, na waliofariki kutokana na ugonjwa huo ni 338
Amesema ugonjwa huo karibia wanautokomeza kwa kuwa sasa hivi wagonjwa wapya ni 512 ikiwa ni idadi ndogo ukilinganishwa na idadi ya wagonjwa miezi iliyopita
ameongezea serikali imetumia milioni 900 kuanzi mwezi Novemba hadi sasa na wanatarajia kuutokomeza ugonjwa huo mwezi Juni
 
B
Heee kumbe bado kipindupindu bado kipo mwee

Bado kipo sana. Na kimeibuka upya huko Simanjiro, Babati na Tarime. Waziri anajidangaya au kudanganywa. Wanachokifanya ''wataalamu'' wa Afya ni kupambana na symptoms tu za tatizo (fire fighting..) pale kipindupind kinapolipuka badala ya kudeal na root causes ambazo ni very poor water and sanitation services kwenye hotspost communities zote.

Hata kama Kipindupindu kitaisha ndani ya hii June kama anavyotabiri Waziri wa Afya, kitarudi tena kwa kasi na ari mpya mwezi wa 9 mvua zikianza maana tatizo kuu halijawa addressed.
 
B


Bado kipo sana. Na kimeibuka upya huko Simanjiro, Babati na Tarime. Waziri anajidangaya au kudanganywa. Wanachokifanya ''wataalamu'' wa Afya ni kupambana na symptoms tu za tatizo (fire fighting..) pale kipindupind kinapolipuka badala ya kudeal na root causes ambazo ni very poor water and sanitation services kwenye hotspost communities zote.

Hata kama Kipindupindu kitaisha ndani ya hii June kama anavyotabiri Waziri wa Afya, kitarudi tena kwa kasi na ari mpya mwezi wa 9 mvua zikianza maana tatizo kuu halijawa addressed.

Mkuu

ningependa hili tatizo liishe kabisa (maana ni aibu kuugua kipindupindu), kwa faida ya wengi chanzo cha kufanya mlipuko huu ukue kwa kasi kubwa hivi ni nini? kilianzia mabibo sasa hivi nchi nzima.

ZAmani tulizoe kipindu pindu ni Dar tu lakini kwa sasa koteeee. shida ni nini mkuu
 
B


Bado kipo sana. Na kimeibuka upya huko Simanjiro, Babati na Tarime. Waziri anajidangaya au kudanganywa. Wanachokifanya ''wataalamu'' wa Afya ni kupambana na symptoms tu za tatizo (fire fighting..) pale kipindupind kinapolipuka badala ya kudeal na root causes ambazo ni very poor water and sanitation services kwenye hotspost communities zote.

Hata kama Kipindupindu kitaisha ndani ya hii June kama anavyotabiri Waziri wa Afya, kitarudi tena kwa kasi na ari mpya mwezi wa 9 mvua zikianza maana tatizo kuu halijawa addressed.
labda ile siku ya usafi ya taifa waliyopitisha rasmi itasaidia?
 
Back
Top Bottom