Wana jamvi Mimi ni msichana mzuri ndani na nje,very attractive,but nimetokea kupendwa na kumpenda mbaba mmoja Mtu mzima,baada ya kuchoshwa na kero za vijana,Huyu baba Ana mke na watoto wa nne wakubwa,tatizo linakuja tu pale anaponiomba tufanye sex yani naogopa namuana Kama baba yangu,namzungusha mpaka leo nothing happened na ni miezi sita sasa tangu tuanze mausiano,nifanyeje na Mimi sitaki kuvunja uhusiano since ananisaidia mambo mengi
Wana jamvi Mimi ni msichana mzuri ndani na nje,very attractive,but nimetokea kupendwa na kumpenda mbaba mmoja Mtu mzima,baada ya kuchoshwa na kero za vijana,Huyu baba Ana mke na watoto wa nne wakubwa,tatizo linakuja tu pale anaponiomba tufanye sex yani naogopa namuana Kama baba yangu,namzungusha mpaka leo nothing happened na ni miezi sita sasa tangu tuanze mausiano,nifanyeje na Mimi sitaki kuvunja uhusiano since ananisaidia mambo mengi
Wewe huyu!!!!Ukitaka kula lazima nawewe uliwe japo kidogo! source:Jk
Kama anakusaidia mambo mengi na wewe ndo msaidie hilo moja
Afu hiyo tabia kujishaua vijana sijui nini nini, we unadhan mke wa huyo mZee anakuonaje... Unatembea na mume wa mtu bila Aibu afu unalalamikia vijana hawajatulia wewe umetulia. Muone bichwa lile....Naomba huyo mzee awe na ukimwi siku unampa mambo akupe virusi hapo hapo
Wana jamvi Mimi ni msichana mzuri ndani na nje,very attractive,but nimetokea kupendwa na kumpenda mbaba mmoja Mtu mzima,baada ya kuchoshwa na kero za vijana,Huyu baba Ana mke na watoto wa nne wakubwa,tatizo linakuja tu pale anaponiomba tufanye sex yani naogopa namuana Kama baba yangu,namzungusha mpaka leo nothing happened na ni miezi sita sasa tangu tuanze mausiano,nifanyeje na Mimi sitaki kuvunja uhusiano since ananisaidia mambo mengi
Wana jamvi Mimi ni msichana mzuri ndani na nje,very attractive,
....
nimetokea kupendwa na kumpenda mbaba mmoja Mtu mzima,baada ya kuchoshwa na kero za vijana,
.....
Huyu baba Ana mke na watoto wa nne wakubwa,
.....
nifanyeje na Mimi sitaki kuvunja uhusiano since ananisaidia mambo mengi
Dah hio tofauti ya umri ni kubwa sanaaaa yaani huyo anakuzaa kabisaa hata sijui nikushauri nini?Fumba macho tu then utazoea taratibu mkishafanya mara kadhaa :smile-big::smile-big:Vizee vingine vina shida sana...
Wana jamvi Mimi ni msichana mzuri ndani na nje,very attractive,but nimetokea kupendwa na kumpenda mbaba mmoja Mtu mzima,baada ya kuchoshwa na kero za vijana,Huyu baba Ana mke na watoto wa nne wakubwa,tatizo linakuja tu pale anaponiomba tufanye sex yani naogopa namuana Kama baba yangu,namzungusha mpaka leo nothing happened na ni miezi sita sasa tangu tuanze mausiano,nifanyeje na Mimi sitaki kuvunja uhusiano since ananisaidia mambo mengi
......nimetokea kupendwa na kumpenda mbaba mmoja Mtu mzima,baada ya kuchoshwa na kero za vijana,.........Mimi sitaki kuvunja uhusiano ...