2Pac Shakur - Hip hop giant legacy thread

Nilidhani kuna cha maana ulichoandika kumbe porojo tupu, faki yu kwa tupac si ilikuwa ndio salamu yake?
I gotta give my fu-k offs

fu*k you to the San Francisco police department
fu*k you to the Marin County Sheriff department
fu*k you to the F.B.I
fu*k you to the C.I.A
fu*k you to the B-u-s-h
fu*K you to the America
fu*k you to all you redneck prejudice mother ----ers
And fu*k you
fu*k Y'all
Punk gay sensitive little dick bastards
2pacalypse mother ----in' know
Y'all can kiss my ass and suck my dick
And my uncle Tommy's balls
fu*k Y'all
Punks, punks, punks, punks, punks
 

Haya Mkuu tumekusikia, lakini kuna kasoro kidogo kwenye maelezo yako

1. Pac aliuawa Las Vegas, Nevada na sio Los Angeles ambayo iko California.
2. Kwenye gari alikuwa Pac na Suge Knight peke yao, Bodyguard wake alikuwa kwenye gari iliyokuwa nyuma yao.
 

Sawa beefinjector.
 


Kweli kabisa.
 
Kwa wale wa kitengo cha "weka picha"
 

Attachments

  • 1401108722058.jpg
    27.2 KB · Views: 666
  • 1401108744775.jpg
    11 KB · Views: 610
  • 1401108757292.jpg
    9.8 KB · Views: 589
  • 1401108779406.jpg
    20.7 KB · Views: 591

Call the cops when u see tupac
 
2 Pac alikuwa apendi askari hasa wazungu.....sishangai kama ni kweli alimwambia hivyo
 
Yule jamaa alishapinda tangu yuko mtt. Alizaliwa jela..!! Makaveliiii..! Nna ngoma zake zoote chache sana zmekosa neno "F*ck'
 
Acha na hyo familia ya shakur ni kwanza ni aunty ake Assata shakur one of the most F.B.i most wanted..wenye kikundi cha black panther
 
Hyo ndio aunty ake na 2pac.. The
governmen
has a file of
Tupac
Amaru
Shakur-
FACT.
The gov't
monitored
the birth of
Afeni
Shakur's
child in
1975- FACT.
The FBI
pledge to
prevent the
rise of a
black
messiah
with its..in short 2pac Fbi ndio walio muua..hata mim namuunga mkono kwa kumtus kwa vile alijua hyo police katumwa na hao hao waliompga risas yule cop ni snitch
 

Attachments

  • 1401649102470.jpg
    12.9 KB · Views: 153
  • 1401649117634.jpg
    8.1 KB · Views: 127

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…