24K together for Kagera

Wahaya siku hizi nao wanaomba misaada kweli hali ngumu
Hatuombi tunahamasisha...!! Wahaya kukumbuka yalotokea kwao.ndo maana twasema pamoja kwa ajili ya kagera ndugu.!! Huwezi kaa pembeni
 
Nimekuelewa sana mkuu kila kitu kitakuwa wazi. Sijataka kuweka hapa namna ya kuzinunua sbbu tunahitaji kuweka kila kitu katika misingi iliyo sawia isiyotia shaka. Ila kwa sasa ni vema watu wakajua kuwa hazitagawiwa bure ila zitauzwa.
 
....nonsense!..pesa za kugharamia hayo maronyaronya si mngezipeleka moja kwa moja kwa wahanga?
..msitukere mjue.,watu tuna machungu yetu blalfuu!
Pole sana na ahsante sana kwa mchango mkali wa hisia zako. Umeeleweka pia.
 
City boy ziliua watu zaidi ya 28 lakini hapakua na kampeni, ajali ya train dodoma iliua zaidi ya watu 100 hapakua na kampeni, kivuko cha kilosa , mv spice islander, mv bukoba, kote hakuna kampeni......

Tetemeko limeua 16 kampeni kila kona, vikumbo kibao, nyimbo zimetungwa, fund raising kibao mpaka hazina wanafanya fund raising......mnajua kwa nini...?????
 
Nawe pia waweza shiriki sbbu enzi za kusubiri wafadhiri katika maafa zimepita kumbuka inaanza na wewe wengine wanafuatia. Pia unakaribishwa katika kampeni hiyo.
Iyo hafla itafanyika wapi? na kuwepo na physical evidence kwamba kinachopatikana kitaenda kwa wahanga na co kufa kufaana.
 
Yani sijaelewa hii nonsense kabisa. Yametokea maafa ya maana sembuse hao wahaya 15 waliokufa
 
Duhh,nchi hii wote tukiwa na mawazo kama yako na fikra kama zako itakuwaje fikir inaanza na wewe! Kama wewe unawaza hayo...
Embu fanya yako kwanza mkuu..Hujui kichwani kwangu nawaza nini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…