24 Series: What are your profound memories?

24 Series: What are your profound memories?

daah kumbe majanga hayakunipata mimi tu peke angu mi nakumbuka hii series iliniletea ugomvi na girlfriend wangu eti simjali tena hapati attention yangu kisa muda wote namalizia kwenye series..nikaacha kuingia lectures ni mimi na 24 tu basi mpaka watu tukaanza kucopy secret service code words "D.O.D, frank 2 position, group Charlie etc "
Nakumbuka ile season ya REDEMPTION iliyochezwa Africa mpaka General Juma akaenda lipa kisasi white house niliipata kwenye saa 2 usiku aissee nilipoanza kuiwatch ni kuanzia muda huo non stop mpaka asubuhi nikakesha usiku mzima basi ile asubuhi watu wanamka kujiandaa kwenda class wanasikia "the following happened from..." tii tii tiii
DAMN 24!! I LOVE THIS SERIES
Hii kitu ni mwisho....niliwahi kuiangalia nikiwa nasoma aisee nilifeli mitihan vibaya mpaka kufeli kule kumeniletea shida mpaka sasa ktk maisha yangu pengo hilo naliona kabisa
But all in all naipenda hii ki2 mpaka marafiki walifika hatua ya kuniita j.bauwer kwa kuipenda hii series....
By th way napenda sana sehem ile ambapo general JUMA alipo break whthouse na pale alipo mtia kibao madam presdent.pia naipenda sana ile part j.b alipo mteka logan ktk msafara wa magari ktk tunnel huku amevalia suit-shield
 
Hii series haina mpinzani, ukiamua kutafuta top 10 ya series bora basi hakika #1 mpk 5 itakua 24hrs tu. Nakumbuka kwenye moja kati ya mahojiano ya President Obama, alipokua anabananishwa kuhusu sera za US za kivita, miongoni mwa maneno yake kwenye majibu akasema C'MON, THIS IS NOT 24HRS SERIES.
 
Haas hii series kiboko nakumbuka series ya nne nilianza kuangalia kama leo saa tano asubuhi nikaipiga mpaka kesho yake saa mbili asubuhi my best moment ni series ya tisa pale chrole o brain anaenda kumsaka j.b anamkuta na j.b anamlazimisha chrole amshuti mkononi ili kuwazuga raia ile kitu ni sooo aisee
 
kumbe wengi tu waathirika wa 24, ndio series pekee ilowahi kuni weka macho uck kucha mara mbili. Yani 24 ni zaidi ya series, sijapata kuona.
Nakumbuka walipo fake kifo cha jack kisha baadae wakamrudisha, ilikuwa ni zaidi ya burudani kwangu.
 
Back
Top Bottom