Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,312
kwikwikwikwi....kwakwawaaa...lakini mbona Ufaransa imekuwa kimya sana dhidi ya Rwanda, kwani kunani?
ndugu yangu,hawa ngozi nyeupe wanajuana kwa unyoya...kagame kawatesa sana mfaransa kwa matusi, kejili pia kiburi..sasa mfaransa kapitia kwa mmarekani kum adabisha nduli kagame...kumbuka ya libya,choko choko alianzisha mfarasa baadae wakaingilia wamarekani..na kagame atangolewa tu kwa ukiburi wake na ulafi wa kufamia Drc (m23) .