2026 FIFA World Cup - Special Thread

Tangazo kwa Umma:

Umoja wa Mashabiki wa Argentina nchini Tanzania (UMATA) tunawakaribisha katika mtanange wa Fainali mashabiki wote wa soka.

Mechi ya leo usije na matokeo yoyote, matokeo utayakuta hukuhuku.

Ikitokea tumefungwa, kumbukeni tayari tushabeba ndoo hiyo mwaka 2022 pale Qatar.

Mechi ya leo ni Dulla anakutana na Abdallah hivyo mashabiki nguli hasa wa Real Madrid mchukue tahadhari.

Vibonzo vyenu vihifadhini maana havina nafasi hata tukifungwa.

Tunatoa pole kwa mashabiki wote wa Mbuzi Pori kwa kuhama kila kichaka katika kipindi chote cha mashindano na bado wakakutana na vipigo.

Leo tunabeba ubingwa mwingine huku Mbuzi akitajwa kama Mchezaji Bora wa Mashindano na lile puto la Ballon d’or tunalitaka.

Karibuni sana kwenye mchezo wa Fainali.

Muione taarifa kwenye jalada
Shadeeya
uran
OHB11
mwaibile
Am_tunnechi
Espy_
Proved
Xi Jinping
moudgulf
 
Yah! Tangazo limekaa kitaalam kabisa Mtani.
 
Unaanza kujitibu kisaikolojia mdogo mdogo.
Ila mkilikosa mtaumia sana hakika.
 
Ashatoa maagizo kwa FBI kuwa nongwa zao zianzie namna State walivyopata nafasi ya kuandaa mashindano.
Mimi ni shabiki namaba moja wa Argentina na tuana undugu mzuri na Raisi wao.
Mimi ni Argentina na Argentina ni NETA.
 
πŸš¨πŸ’£ π„π—π‚π‹π”π’πˆπ•π„: The FIFA technical committee met up on Friday to discuss the awards handed out after the World Cup final.

It has already been decided: Leo Messi has won the Golden Ball award, regardless of what happens in the final.
 
Ugomvi wa ndugu wa damu huu, wasije kuingilia watapata manundu bure.

#Hallelujah!!!
 
Mbappe - 10 goals in 1 world cup
Messi - 8 goals in 1 world cup
Haaland - 7 goals in 1 world cup
Bellingham - 7 goals in 1 world cup
Dembele - 7 goals in 1 world cup
Harry Kane - 6 goals in 1 world cup

Cristiano Ronaldo - 11 goals in 6 world cup
Pendu anapitia wakati mgumu sana kwenye maisha yake ya soka, na hii chanzo ni yeye mwenyewe matambo mengi na kujiona bora kuliko wenzake majivuni mengi sana yule mswahili wa ureno.

#Hallelujah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…