2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kwanza hiyo nafasi ya pili kwa lile group anashikaje?

Hata humu watu wamechambua na wamekuja kubaini hadi Taifa Stars kwenye lile kundi angeweza kupita.
Mbona Portugal kashika nafasi ya pili? Maana ulizungumzia Ranking, nimekuomba Ranking ya kundi la Ureno hukunipa then ili tucompare na Argentina.Tusiende mbali okay weka timu za kundi la Spain.
 
Hahahaaa. Hapo sitii neno mpaka aje mwanasheria wangu Greatest Of All Time.

Mtani eti mi toka lini nikaisema vibaya Argentina? 😀
 
Uko slow sana, nimetaja hizo timu sababu ni vibonde na endapo Portugal angezifunga zote angeongoza group
Umewaza vizuri, ila haukutakiwa kuishia hapo. Umesahau kulikuwa na Colombia ofsa?

Sasa hata hizo mechi tungeshinda bado tungeishia kuwa na point 7 ambazo ni sawa na Colombia na hii ndio ilikuwa inaonyesha jinsi gani kundi hili lilikuwa na ushindani.
 
Timu ina viungo bora wa Dunia ina the so called Goat sijui Gout lakini inashindwa kumfunga congo. Shame on them😆
Jamaa anatumia hoja dhaifu sana..

Ingekuwa ni hivyo hata PELE asingetajwa kwenye record za dunia.
Sababu hajacheza top leagues.

Ujue analazimisha kuhalalisha MeSsi anakuwa anabebwa na FIFA.
Swali jepesi Kikosi cha Portugal ukilinganisha na Argentina timu ipi imara zaidi?
 
Umewaza vizuri, ila haukutakiwa kuishia hapo. Umesahau kulikuwa na Colombia ofsa?

Sasa hata hizo mechi tungeshinda bado tungeishia kuwa na point 7 ambazo ni sawa na Colombia na hii ndio ilikuwa inaonyesha jinsi gani kundi hili lilikuwa na ushindani.
Yaani kundi lenye congo, uzbekstan ndio lina ushindani??
Yaani hilo kundi lilikuwa inajulikana nafasi ya kwanza na ya pili ni ya nani na nani tayari, ila ajabu ni kwamba Congo Mbuzi wako aliizidi point 1
 
Leta kwanza matokeo ya Ureno na Congo .. halafu twende mbele tena.
1-1

Shida ni nini?

Shida sio game ya Congo, shida ni kwamba kundi lilikuwa gumu kwasababu kulikuwa na timu 2 kubwa nitajie kwenye kundi lenu la Kikoba ni timu gani ilikuwa kubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…