Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,534
- 61,962
Mkuu nimejikuta nacheka tu hilo neno eti "goti" Lol.Saka naye ni goti?
Hapana Mtani kwa kuwa katukimbia wacha na sisi tupite hivvii 😀 tukautwae ubingwa kwa mara ingine.
Siikosi hii Mtani. 🙏Saa4:00 usiku usikose mtani
Jiandae kwa maumivu Mtani.Mtani leo hali sio hali.
Timu ninayoipenda zaidi England 🏴 inacheza na Timu nisiyoipenda kabisa.
Yaani leo kwangu Mpira kumoyo.
Nashangaa sina wasiwasi kabisa.
England anaenda kuifurahisha Dunia.
Hivi kuna ugumu gani wakushare hiyo reputable sources ya habari yako, ili tuachane na hizi chai unazo jitungia.CBC hawajaripoti hiyo quote
Wakati CBC inaandika hiyo habari hakukuwa na nyaraka za siri zilizovuja.
Nyaraka za siri zilikuja kuwa leaked na Romain Molina huyu ndio ameongea mengi ikiwemo sakata la unyanyasaji wa kijinsia ambalo mimi nimeliainisha hapo juu ambalo pia huwezi kulikuta kwenye CBC wala Lanacion ambayo ndio primary source wa hii habari.
Kwa hiyo hoja yangu bado inakuwa ni ya kweli ila haipatikani katika chanzo chako hicho ambacho unakirejea.
Kwa hiyo matokeo ya uwanjani ndio yameanza kwa mara ya kwanza kuonekana msimu huu?
Kivipi katika miaka 17 kusiwe na scenario kama hii ya timu moja kufika nusu fainali ikiwa haijacheza na timu kubwa kwenye top ten?
Hivi kuna ugumu gani wakushare hiyo reputable sources ya habari yako, ili tuachane na hizi chai unazo jitungia.
Wanashindwa kuenjoy soccer wanaishia kula maumivuPlan- Portugal
Back up plan- France
Last hope- England
Ronaldo fans no get rest of mind
Kwanza hiyo nafasi ya pili kwa lile group anashikaje?Nimekuuliza Argentina angeshika nafasi ya pili ungesema amebebwa?
Performance ya Argentina kwenye kundi lake ndio imedetermined akutane na nani,angezembea basi njia yake ingekuwa ngumu.
Portugal alishikaje nafasi ya pili kundi lenye Uzbekistan na congo?Kwanza hiyo nafasi ya pili kwa lile group anashikaje?
Hata humu watu wamechambua na wamekuja kubaini hadi Taifa Stars kwenye lile kundi angeweza kupita.
Hii mechi inamuhitaji pia Nico Pazz na Barco. Ila ngoja tuone. Leo sina stress yoyote sawa ila akija messi itakua vizuri