T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,785
- 46,644
Nakuona mzee upo onPenalty
Neymar atafunga.?Wanapata tuta dakika za jioni
Ameishachoka wamuache apumzike. Na hakuna kilabu kinamchukua.Ancelot anafukuzwa haifiki juma5
Hao ni wale wana oangalia mpira wa leo hawaishi kwa historyKuna wakamaria wanaua Brazil vizurrii tu mkuu, brazil toka mwanzo anaonekana hana Cha maana
Yes 🔥 upo kwa JinnNiko na 🇳🇴