2026 FIFA World Cup - Special Thread

Sikuifatilia kwa ukaribu kama hii
Ukweli ni kwamba ya 2022 haikuwa na ushindani kwasababu kuna timu moja iliandaliwa kutwaa taji kwasababu za kibiashara pamoja na mchezaji wake kuwa favourite na FIFA.

Ladha ingeonekanaje ikiwa kila mechi kulikuwa na penati?

Ushindani ungeonekanaje ikiwa hakuna usawa wa kimaamuzi kwenye kutafsiri sheria za faulo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…