2025 ni mwaka ulioongeza watoto yatima

2025 ni mwaka ulioongeza watoto yatima

Desierto

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
847
Reaction score
2,954
Kwasababu waliouwawa wengi ni vijana, halafu pili wengi wao walikuwa wanaishi mjini, halafu tatu maisha ya mjini yalivyo magumu, na halafu nne baba ndiye nguzo kuu ya familia.

Basi watoto wa mtaani wataongezeka kuanzia sasa na kuendelea, maana kuna wengine wameachwa na mimba.
 
Chanzo cha vifo 2025. Soure RITA
1. Magonjwa
2. Ajali
3. Samia
 
Back
Top Bottom