Mimi sio mbobez wa siasa ila ninachokiona kwenye Chama changu cha Mapinduzi kinajenga picha ya fukuto kubwa lililoko ndani ya chama
Mbowe kama una mshaur mzur 2025 usisusie uchaguz hata kama katiba mpya haitakuwa imepatikana
Kwanini?
1. Uchaguzi wa 2020 uliacha majeraha mengi ndani ya CCM ila watu walikaa kimya kwa kumuogopa Magufuli 3/4 ya waliogombea sio walioshinda kura za maoni na ukiona mtu kashinda kura za maoni ujue ana ngome kubwa ndani ya jimbo lake So 2025 watu waioshinda kura za maoni 2020 na ngome yao watataka kuonesha umwamba wao huku hawa ambao wamekuwa wabunge kwa huu muda pia wakitaka kuonesha wana nguvu pia hali itakayopelekea chama kugawanyika na sababu raisi aliyepo hawamuogopi basi kugawa kura kuu haitakuwa shida.
2. Team Magu vs team Samia(Kikwete) hapa mgongano ni mkubwa sana na kwa bahati mbaya haijulikani nan ana watu wengi ingawa CCM asili wana nguvu but pia Magu aliwaondoa sana hasa kwenye CC na Kamat kuu na kujaza watu wake mfurugano utaendelea.
3. Uwezo hafifu wa Samia
Kwa sasa chama kimekuwa cha ovyo sana kila mtu anajiropokea anavyojisikia bila woga. Jana nimemsikiliza sijui Mwenyekiti wa Iringa anaropoka huku Ndugai anaropoka huku Nape anapiga vijembe huku Lemutuz yaan kila mmoja sahiz haogop kuropoka.
4. Polepole
CCM wanaweza dharau anachokifanya ila wajue ni kitu kikubwa sana. Mimi naamin yule Bwana ametangulizwa na watu ili kupima msuli wa mama na jinsi mama anavyozid kumpotezea ndo inawapa nguvu walioko nyuma yake wakiamim 2025 hata wanaweza kumpinga bila uoga maana sio chaguo lao. Mama angeweza angechinja kichwa cha pole pole kutoa mfano kwa walioko nyuma yake ili waogope na waheshim mamlaka.
NB: Trust me CCM inagawanyika vipande vipande sana sababu ya uwepo wa mama na pia aliyofanya Magu huko nyuma
2025 Chadema itakusanya viti vingi sana narudia vingi zaid ya sana(Ingawa uraisi hawawez kushinda)
Mbowe na wenzio pls msijitoe uchaguzi wa 2025.
Mbowe kama una mshaur mzur 2025 usisusie uchaguz hata kama katiba mpya haitakuwa imepatikana
Kwanini?
1. Uchaguzi wa 2020 uliacha majeraha mengi ndani ya CCM ila watu walikaa kimya kwa kumuogopa Magufuli 3/4 ya waliogombea sio walioshinda kura za maoni na ukiona mtu kashinda kura za maoni ujue ana ngome kubwa ndani ya jimbo lake So 2025 watu waioshinda kura za maoni 2020 na ngome yao watataka kuonesha umwamba wao huku hawa ambao wamekuwa wabunge kwa huu muda pia wakitaka kuonesha wana nguvu pia hali itakayopelekea chama kugawanyika na sababu raisi aliyepo hawamuogopi basi kugawa kura kuu haitakuwa shida.
2. Team Magu vs team Samia(Kikwete) hapa mgongano ni mkubwa sana na kwa bahati mbaya haijulikani nan ana watu wengi ingawa CCM asili wana nguvu but pia Magu aliwaondoa sana hasa kwenye CC na Kamat kuu na kujaza watu wake mfurugano utaendelea.
3. Uwezo hafifu wa Samia
Kwa sasa chama kimekuwa cha ovyo sana kila mtu anajiropokea anavyojisikia bila woga. Jana nimemsikiliza sijui Mwenyekiti wa Iringa anaropoka huku Ndugai anaropoka huku Nape anapiga vijembe huku Lemutuz yaan kila mmoja sahiz haogop kuropoka.
4. Polepole
CCM wanaweza dharau anachokifanya ila wajue ni kitu kikubwa sana. Mimi naamin yule Bwana ametangulizwa na watu ili kupima msuli wa mama na jinsi mama anavyozid kumpotezea ndo inawapa nguvu walioko nyuma yake wakiamim 2025 hata wanaweza kumpinga bila uoga maana sio chaguo lao. Mama angeweza angechinja kichwa cha pole pole kutoa mfano kwa walioko nyuma yake ili waogope na waheshim mamlaka.
NB: Trust me CCM inagawanyika vipande vipande sana sababu ya uwepo wa mama na pia aliyofanya Magu huko nyuma
2025 Chadema itakusanya viti vingi sana narudia vingi zaid ya sana(Ingawa uraisi hawawez kushinda)
Mbowe na wenzio pls msijitoe uchaguzi wa 2025.