Mpira wetu umetawaliwa na Usimba na Yanga, hâta kwenye team ya Taifa watu wanakuwa na mentality za kushindana wao kwa wako kwanza kabla ya kuwafikia opponents wao viwanjani.
Refa bwege kabisa, 1st half extra time 4min, 2nd half extra time 3min halafu kamalizia game kwenye move, bwege kabisa.
Gambia watawapiga za kutosha hawa wajinga.