Nilishawaambia timu za NORTH zikifika hatua ya 16 bora wanafunguka vibaya mno, wanapeleka moto sio wa kawaida
Mimi ni shabiki wa Algeria, ikitoka naenda na Morocco.....huyo egypt asubiri kipigo kutoka kwa Milima ya atlas, tutampiga nyingi hutaamini.....
Morocco <>Tunisia, final
Morocco bingwa kamanda wangu