Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,463
- 45,751
Hapa wanatupiga tu maana wameona japan aliwapiga sanaMie jamaa sijapenda hii trend yao ya sasa ya kuzalisha Range Rover za aina nyingi. Bora wangebaki mbili kama mwanzo.
Kwa mfano Toyota wana aina ngapi na Nissan zipo kibao na wanapopigania ni bei
Lakini wangebaki na kutengeneza aina moja tu na bei moja ni wachache watanunua
Kwa hiyo ni mchuano
Na sasa wanaanza za umeme baada ya petrol na diesel kupigwa marufuku
Sent from my SM-G570F using Tapatalk