RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,382
- 1,851
- Thread starter
-
- #221
Heheheee! I can only imagine. Kwa kweli ni ngumu. Lazima mguu utajikuta umekanyaga kwenye break. Daa! Mie niliona kwenye S Class ya 2016. Ila ile breaking ni wewe. Steering ndio inajipeleka yenyewe.Siku naelekezwa nilisema leo ndio kukoma ubishi
Yaani kwanza unaingia packing halafu unaiacha itafute parking yenyewe
Speed 10m/h polepole inaenda yenyewe ikipata sehemu hata katikati ya gari mbili na inaona inaweza kuingia kwa ukubwa wake
Command and control inakuambia relax usiguse kitu hapo ndio utajua mzungu kawa MFIPA
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hapo kwa kweli umeme unahusika. Ndio maana kila manufacturer sasa hivi anajitahidi kutengeneza gari la umeme.Mkuu gari la umeme hulipi hata road tax na congestion charge hakuna halafu insurance kama bure
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Heheheee! I can only imagine. Kwa kweli ni ngumu. Lazima mguu utajikuta umekanyaga kwenye break. Daa! Mie niliona kwenye S Class ya 2016. Ila ile breaking ni wewe. Steering ndio inajipeleka yenyewe.
Mkuu kampuni nyingi wamenunua hizoHapo kwa kweli umeme unahusika. Ndio maana kila manufacturer sasa hivi anajitahidi kutengeneza gari la umeme.
Ok,spares siku hizi ni kuagiza kwa mtandao tu ,kariakoo ,ilala utateseka bure tu.Hivi spares parts zake zinapatikana kweli mitaani kwetu? Nimeviona kadhaa vikipita pita mtaani. Ila nina mashaka saana na mafundi wetu. Though kuna mdau mmoja, LEGE nafikiri alisema kwenye garage yake wanaweza kuvirekebisha. Maana mafundi wetu wengi wanazingua. Hivi vigari vyenye electric steering vinawasumbua saana. Kikiwasha taa wengi wao wanazima sensor tu.
Kuchaji ni free in public places (Charging Points) kwa sababu wana encourage matumizi ya hizo EV Vehicles atleast for now! Ila pia unaweza nunua adaptive fast charging system wakakufungia socket kwako kwenye system yako ya umeme.Hapo sawa. Maana 40 mins unategea muda wa lunch huku gari linajaa. Sasa sijui unalipia vipi kujaza gari. Wanacharge based on time, au kuna jinsi ya kuangalia umetumia units kiasi gani.
Aise. Basi EV ndio way forward. Kumbe charging ni bure kwa sasa. Basi waarabu watapata taabu saana pindi bei ya EV itakapokuwa affordable kwa wengi. Maana hata wakianza kulipisha charging, haitakuwa gharama saana.Kuchaji ni free in public places (Charging Points) kwa sababu wana encourage matumizi ya hizo EV Vehicles atleast for now! Ila pia unaweza nunua adaptive fast charging system wakakufungia socket kwako kwenye system yako ya umeme.
Hii ni kweli. Ninapenda ukiagiza kwa part number unapata spare kama iliyokuwepo. Inafit vizuri bila kulazimisha.Ok,spares siku hizi ni kuagiza kwa mtandao tu ,kariakoo ,ilala utateseka bure tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes. Sasa hivi EV makapuni mengi yanatengeneza just for publicity. Ila soon utaona flagships za makampuni makubwa zinakuwa EV. Nilishangaa kusikia na Range Rover wamekwenda huko. So soon zitashuka bei. At least kwa huko. Maana huku huwa tunajiwekea another 10yrs mpaka model iwe affordable kwa wengi.Mkuu kampuni nyingi wamenunua hizo
Na Heathrow wanazo Nissan Leaf nyingi sana halafu wana sehemu zao za ku charge mpaka kwenye parking
Ila ghali bado mpaka ziwe nyingi ndio zitashuka bei labda
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Hehehee! Kweli mwanzoni ni ngumu saana. Kuna hiyo park assist, kuna ile adaptive cruise control na lane keep assist. Zote huwa siziamini hata kidogo. Naona zinaleta stress tu kwa kweli.
Umejuaje? maana mguu ulikuwa kwenye break kwa woga
Jicho linatoka balaa
But i was fun niliporudia tena
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kweli kabisaYes. Sasa hivi EV makapuni mengi yanatengeneza just for publicity. Ila soon utaona flagships za makampuni makubwa zinakuwa EV. Nilishangaa kusikia na Range Rover wamekwenda huko. So soon zitashuka bei. At least kwa huko. Maana huku huwa tunajiwekea another 10yrs mpaka model iwe affordable kwa wengi.
Lane assist ni fujo tu na kelele ni kuizima tu lakini cruise control ni nzuri ina maintain speed yako kama kuna speed cameraHehehee! Kweli mwanzoni ni ngumu saana. Kuna hiyo park assist, kuna ile adaptive cruise control na lane keep assist. Zote huwa siziamini hata kidogo. Naona zinaleta stress tu kwa kweli.
Huku siku hizi balaa ni kwenye zebra crossing. Ukipita na speed zaidi ya 50kph wana wewe.Lane assist ni fujo tu na kelele ni kuizima tu lakini cruise control ni nzuri ina maintain speed yako kama kuna speed camera
Hii naitumia sana maana kuna camera nyingi sana
Ingawa inaku allert kuwa kuna camera mbele
Sio kama huko aanjificha juu ya mti
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Elimu yetu ni ya kizamani saana. Hatuendani maendeleo ya dunia. Ndio maana bado tutaendelea kuwapa kazi watu wa nje kwenye mambo iliyotakiwa tufanye wenyewe.Kweli kabisa
Itabidi waafrika nasi tutengeneze zetu au vyuo vifungwe tu maana elimu yetu haina faida
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Huo ni utafutaji tuHuku siku hizi balaa ni kwenye zebra crossing. Ukipita na speed zaidi ya 50kph wana wewe.
Mwanafunzi anakariri tu vitabu halafu kwenye mtihani akipasi anajisifia na kutambaElimu yetu ni ya kizamani saana. Hatuendani maendeleo ya dunia. Ndio maana bado tutaendelea kuwapa kazi watu wa nje kwenye mambo iliyotakiwa tufanye wenyewe.
Si ndio hapo. Maana hata vijijini huko wanatukaba. Yaani ni ngumu kweli kuwakwepa. Lazima utapatikana tuu.Huo ni utafutaji tu
Hao waenda kwa miguu wanatembea kama kuku
Sent from my SM-G570F using Tapatalk