2017: Watanzania (CCM, Upinzani) tu Wamoja, Tupendane, Tuheshimiane, Tushirikiane kuijenga nchi yetu

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,560
Wanabodi,
Heri ya Mwaka Mpya 2017.
Hizi ni salaam zangu kwa wana jf wenzangu kuwa kwa mwaka 2016 na miaka ya nyuma, sote tumeshuhudia jinsi JF ilivyo na impact kwa mustakabali wa taifa hili.

Kitendo cha kukamatwa mmiliki wa JF, Maxence Melo, kwa kukataa kutoa majina ya wana jf kwa polisi ili washughulikiwe, ni uthibitisho tosha kuwa kuna michango ya wana jf ni mkuki ambao unawachoma wahusika mpaka moyoni kiasi cha kuwasaka. This means JF has powers, it's a powerful tool to bring about the changes we anticipate and expect.

Hivyo jf has a role to play kwa kutumia the jf powers kwenye ku shape the direction na mustakabali wa taifa letu, lets be more responsible towards kujenga na sio kubomoa, hivyo natoa wito kwa wana JF kwa mwaka huu, tuhubiri zaidi Upendo, ili kujenga mshikamano wa kweli kwa CCM na Wapinzani kupendana kwa dhati, kuheshimiana, na kushirikiana kuleta maendeleo kwa taifa letu kwa sababu, its only together we can!.

Upendo ndio amri kuu kuliko zote humu duniani ambayo Mungu ametupa. Naomba kuazima hii mistari kutoka kitabu fulani kuhusu upendo "Upendo huvumilia, upendo hufadhili; upendo hauna wivu au majivuno. Upendo hauna kiburi na haukosi kuwa na adabu. Upendo hau tafuti kujipendeza nafsi; haukasiriki upesi, hauweki orodha ya mabaya. Upendo haufurahii mabaya, bali hufurahia kweli. Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote"

Kwa vile CCM ndio chama tawala na serikali yake, viongozi wake wote kuanzia juu kwa Mwenyekiti hadi kwa mjumbe wa shina, na viongozi wote wa serikali, kuanzia rais wa nchi hadi serikali ya mtaa, wana wajibu na jukumu sio tuu la kuhubiri upendo kwa maneno tuu, bali kwa kufanya matendo yanayoashiria upendo wa kweli, (practising what you preach) kwa kuwapenda kwa dhati Watanzania wote, na watu wote, wakiwemo wapinzani ambao nao ni Watanzania, itawaheshimu wote, haitawanyanyasa, haitawabagua, haitawadharau, haitawabeza, itawatendea haki, itaendesha chaguzi zake kwa uhuru na haki, hivyo itashinda kwa haki, na wapinzani watashindwa kwa haki, hivyo watakubali kushindwa na kumpongeza mshindi na kushirikiana nae kuleta maendeleo.

Kama CCM ina upendo wa dhati, pia itachukua yale mazuri ya wapinzani na kuwashirikisha katika kuya implement kwa mustakabali mwema wa taifa letu.

Kwa kwa hali ilivyo sasa kati ya CCM na Wapinzani ni kama paka na panya, kwa CCM ikijiona ndio pekee yenye hati miliki ya kutawala taifa hili la Tanzania milele, hivyo yoyote atakayetishia status quo ya CCM kutawala milele, kuonekana kama ni adui, na sisi jf tukiwemo, hivyo CCM inawaona wapinzani kama maadui wenye lengo la kuwapokonya kitumbua chao, hivyo kutumia kila mbinu kuhakikisha inabakia madarakani by hooks and crooks, ikiwemo kutumia mbinu ya bao la mkono, kuminya demokrasia, kuminya uhuru wa kujieleza, uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa kukusanyika, kukandamiza upinzani hata ikibidi kuikanyaga katiba, wataikanyaga kwa lengo la kuwakomoa wapinzani kumbe wanawakomoa Watanzania. Kwa Hali hii mtu inakubidi ujiulize kama huu ni upendo wa kweli na upendo wa dhati kwa Watanzania.

Tanzania ni yetu sote, hii nchi sio mali ya CCM au mtu yoyote, ni mali ya Watanzania wote wakiwemo CCM wenye dhamana ya kutawala lakini pia Wapinzani na wengine wote hata wasio na vyama ndio maana tukaweka vipengele vya haki za kila mtu na wajibu wake kwenye katiba yetu.

CCM na serikali yake wana wajibu wa kuiheshimu katiba, sheria taratibu na kanuni ili kuonyesha upendo wa dhati kwa Watanzania wote wakiwemo wapinzani, nayo pia itapendwa na wote, na kuheshimuwa na wote wakiwemo wapinzani hivyo sote tutapendana kwa dhati kama Watanzania, tutaheshimiana na kushirikiana kuleta maendeleo ya taifa letu.

Naomba kukiri, nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili, baada ya kusoma salaam za mwaka mpya za mwana jf huyu katika bandiko lake
https://www.jamiiforums.com/threads/neno-la-mwaka-mpya-tugange-yajayo.
Ndugu zangu,
Tumeingia mwaka 2017. Maisha binafsi na ya taifa lazima yasonge mbele.

Tanzania ni nchi yetu. Tuna wajibu, bila kujali tofauti zetu za kiitikadi na kimitazamo. Bila kujali ni Serikali ya chama gani iko madarakani, kufanya yote kuhakikisha tunaisadia Serikali iliyo madarakani ifanikiwe katika kuifanya nchi yetu kuwa yenye uwezo wa kiushindani kwenye dunia ya ushindani.

Huko ni kutimiza wajibu wetu wa kizalendo kwa nchi tuliyozaliwa na tunayoipenda.

Tuendelee kutekeleza wajibu huu kwenye mwaka huu wa 2017 na inayokuja.
Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania.
Happy New Year!
Maggid Mjengwa.
Iringa.
Mkuu Maggid, nimeguswa hii mistari hivyo nami nimekuwa inspired kuandika kitu.
Asante

Kwa kuanzia, kwanza naunga mkono hoja ya heshima, ni two way traffic, kwa mkubwa aheshimu mdogo na mdogo aheshimu mkubwa. Heshima ya kweli huwa earned na sio heshima ya kuwa forced. Mzizi wa heshima ya kweli ni upendo wa dhati. Hivyo upendo ndio utangulie kwa watu wote tupendande, bila kujali tofauti zetu, ndipo heshima ya kweli ifuatie na ipatikane, kwenye upendo wa kweli kunakuwa na amani na mshikamano.

Viongozi wa chama tawala wawapende kwa dhati wapinzani, kikiwa na upendo wa dhati, CCM itawaheshimu wapinzani na wapinzani wataiheshimu CCM na kushirikiana nayo kwa pamoja kuleta maendeleo endelevu.

Akitokea kiongozi anayejisikia y eye ndio yeye, kwa vile chama chake Kimeshinda uchaguzi na y eye ndie mkuu, basi anajiona yeye ndie kila kitu, yeye ndie alfa na omega wa Tanzanian, na mtu akikohoa tuu kama Lema alivyokohoa tuu, then sasa anaozea jela!. Huu sio upendo wa kweli.

Katiba inatoa haki fulani za msingi sana, alafu anajitokeza mtu mmoja aliyeapa kuilinda hiyo katiba lakini anaisigina huku akiangaliwa tuu, na kushangiliwa, kiongozi wa namna hii haonyeshi upendo wa kweli na upendo wa dhati toka moyoni Kwke, ila ataheshimiwa kwa heshima ya uoga, Watanzania wote wakiwemo wapinzani, watatii kila amri sio kwa utii wa upendo, bali kwa utii wa nidhamu ya uoga.

Tanzania ni yetu wote, Tupendane kwa dhati kwa Upendo wa Kweli, Tuheshimiane, tuijenge nchi yetu. Tukipendana, tutaheshimiana na tutashirikiana kuleta maendeleo ya kulijenga taifa letu na kuliletea maendeleo.

Heri ya Mwaka Mpya 2017.

Paskali
 
Wanabodi,
Heri ya Mwaka Mpya 2017.
Hizi ni salaam zangu kwa wana jf wenzangu kuwa kwa mwaka 2016 na miaka ya nyuma, sote tumeshuhudia jinsi JF ilivyo na impact kwa mustakabali wa taifa hili.

Kitendo cha kukamatwa mmiliki wa JF, Maxence Melo, kwa kukataa kutoa majina ya wana jf kwa polisi ili washughulikiwe, ni uthibitisho tosha kuwa kuna michango ya wana jf ni mkuki ambao unawachoma wahusika mpaka moyoni kiasi cha kuwasaka.

Hivyo jf has a role to play kuhusu mustakabali wa taifa letu, lets be more responsible towards kujenga na sio kubomoa, hivyo natoa wito kwa wana JF kwa mwaka huu, tuhubiri zaidi Upendo, ili kujenga mshikamano kwa CCM na Wapinzani kupendana, kuheshimiana, na kushirikiana kuleta maendeleo kwa taifa letu kwa sababu, together we can!.

Upendo ndio amri kuu kuliko zote, CCM na serikali yake ikiwapenda kwa dhati wapinzani, itawaheshimu, haitawanyanyasha, itawatendea haki, itaendesha chaguzi zake kwa uhuru na haki, hivyo itashinda kwa haki, na wapinzani watashindwa kwa haki, hivyo watakubali kushindwa na kumpongeza mshindi na kushirikiana nae kuleta maendeleo.

Kama CCM ina upendo wa dhati, pia itachukua yale mazuri ya wapinzania na kuwashirikisha katika kuya implement kwa mustakabali mwema wa taifa letu. Kwa kwa hali ilivyo sasa kati ya CCM na Wapinzani ni paka na panya, CCM ikijiona ndio pekee yenye hati miliki ya kutawala taifa hili milele, hivyo kuwaona wapinzani kama maadui wenye lengo la kuwapokonya kitumbua chake, hivyo kutumia kila mbinu kukandamiza upinzani hata ikibidi kuikanyaga katiba, wataikanyaga ili kuwakomoa wapinzani. Tanzania ni yetu sote, hii nchi sio mali ya CCM au mtu yoyote, ni mali ya Watanzania wote wakiwemo CCM wenye dhamana ya kutawala lakini pia Wapinzani na wengine wote hata wasio na vyama ndio maana tukaweka vipengele vya haki za kila mtu na wajibu wake kwenye katiba yetu. CCM na serikali yake wana wajibu wa kuiheshimu katiba, sheria taratibu na kanuni ili kuonyesha upendo wa dhati kwa Watanzania wote wakiwemo wapinzani, nayo pia itapendwa na wote, na kuheshimuwa na wote wakiwemo wapinzani hivyo sote tutapendana kwa dhati kama Watanzania, tutaheshimiana na kushirikiana kuleta maendeleo ya taifa letu.

Naomba kukiri, nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili, baada ya kusoma salaam za mwaka mpya za mwana jf huyu katika bandiko lake
https://www.jamiiforums.com/threads/neno-la-mwaka-mpya-tugange-yajayo.

Mkuu Maggid, nimeguswa hii mistari hivyo nami nimekuwa inspired kuandika kitu.
Asante

Kwa kuanzia, kwanza naunga mkono hoja ya heshima, ni two way traffic, kwa mkubwa aheshimu mdogo na mdogo aheshimu mkubwa. Heshima ya kweli mzizi wake ni upendo, upendo ndio utangulie kwa watu wote tupendande, bila kujali tofauti zetu, ndipo heshima ya kweli ipatikane, kwenye upendo wa kweli kunakuwa na amani na mshikamano.

Viongozi wa chama tawala wawapende kwa dhati wapinzani, kikiwa na upendo wa dhati, CCM itawaheshimu wapinzani na wapinzani wataiheshimu CCM na kushirikiana nayo kwa pamoja kuleta maendeleo endelevu.

Akitokea kiongozi anayejisikia y eye ndio yeye, kwa vile chama chake Kimeshinda uchaguzi na y eye ndie mkuu, basi anajiona yeye ndie kila kitu, yeye ndie alfa na omega wa Tanzanian, na mtu akikohoa tuu kama Lema aluvyokohoa, then ataozea jela!. Katiba inatoa haki fulani za msingi sana, alafu anajitokeza mtu mmoja aliyeapa kuilinda hiyo katiba huku akiangaliwa tuu, kiongozi wa namna hii haonyeshi upendo wa kweli toka moyoni, ila ataheshimiwa kwa heshima ya uoga, Watanzania wote wakiwemo wapinzani, watatii kila amri sio kwa utii wa upendo, bali kwa utii wa nidhamu ya uoga.

Tanzania ni yetu wote, Tupendane kwa dhati kwa Upendo wa Kweli, Tuheshimiane, tuijenge nchi yetu. Tukipendana, tutaheshimiana na tutashirikiana kuleta maendeleo ya kulijenga taifa letu na kuliletea maendeleo.

Heri ya Mwaka Mpya 2017.

Paskali
Paskali, all said, umeandika vizuri sana. Siyo nchi hii kwa sasa. Nyerere alisema Kaburu ni kaburu tu! Ukiona mtu mwenye madaraka anaomba WAPINZANIA WAFE ( na siyo upinzania ufe, mind you!), IBAKI CCM, huyo hakuna reconsiliation, hakuna upendo, there is NO NOTHING!
 
Wanabodi,
Heri ya Mwaka Mpya 2017.
Hizi ni salaam zangu kwa wana jf wenzangu kuwa kwa mwaka 2016 na miaka ya nyuma, sote tumeshuhudia jinsi JF ilivyo na impact kwa mustakabali wa taifa hili.

Kitendo cha kukamatwa mmiliki wa JF, Maxence Melo, kwa kukataa kutoa majina ya wana jf kwa polisi ili washughulikiwe, ni uthibitisho tosha kuwa kuna michango ya wana jf ni mkuki ambao unawachoma wahusika mpaka moyoni kiasi cha kuwasaka.

Hivyo jf has a role to play kuhusu mustakabali wa taifa letu, lets be more responsible towards kujenga na sio kubomoa, hivyo natoa wito kwa wana JF kwa mwaka huu, tuhubiri zaidi Upendo, ili kujenga mshikamano kwa CCM na Wapinzani kupendana, kuheshimiana, na kushirikiana kuleta maendeleo kwa taifa letu kwa sababu, together we can!.

Upendo ndio amri kuu kuliko zote, CCM na serikali yake ikiwapenda kwa dhati wapinzani, itawaheshimu, haitawanyanyasha, itawatendea haki, itaendesha chaguzi zake kwa uhuru na haki, hivyo itashinda kwa haki, na wapinzani watashindwa kwa haki, hivyo watakubali kushindwa na kumpongeza mshindi na kushirikiana nae kuleta maendeleo.

Kama CCM ina upendo wa dhati, pia itachukua yale mazuri ya wapinzania na kuwashirikisha katika kuya implement kwa mustakabali mwema wa taifa letu. Kwa kwa hali ilivyo sasa kati ya CCM na Wapinzani ni paka na panya, CCM ikijiona ndio pekee yenye hati miliki ya kutawala taifa hili milele, hivyo kuwaona wapinzani kama maadui wenye lengo la kuwapokonya kitumbua chake, hivyo kutumia kila mbinu kukandamiza upinzani hata ikibidi kuikanyaga katiba, wataikanyaga ili kuwakomoa wapinzani. Tanzania ni yetu sote, hii nchi sio mali ya CCM au mtu yoyote, ni mali ya Watanzania wote wakiwemo CCM wenye dhamana ya kutawala lakini pia Wapinzani na wengine wote hata wasio na vyama ndio maana tukaweka vipengele vya haki za kila mtu na wajibu wake kwenye katiba yetu. CCM na serikali yake wana wajibu wa kuiheshimu katiba, sheria taratibu na kanuni ili kuonyesha upendo wa dhati kwa Watanzania wote wakiwemo wapinzani, nayo pia itapendwa na wote, na kuheshimuwa na wote wakiwemo wapinzani hivyo sote tutapendana kwa dhati kama Watanzania, tutaheshimiana na kushirikiana kuleta maendeleo ya taifa letu.

Naomba kukiri, nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili, baada ya kusoma salaam za mwaka mpya za mwana jf huyu katika bandiko lake
https://www.jamiiforums.com/threads/neno-la-mwaka-mpya-tugange-yajayo.

Mkuu Maggid, nimeguswa hii mistari hivyo nami nimekuwa inspired kuandika kitu.
Asante

Kwa kuanzia, kwanza naunga mkono hoja ya heshima, ni two way traffic, kwa mkubwa aheshimu mdogo na mdogo aheshimu mkubwa. Heshima ya kweli mzizi wake ni upendo, upendo ndio utangulie kwa watu wote tupendande, bila kujali tofauti zetu, ndipo heshima ya kweli ipatikane, kwenye upendo wa kweli kunakuwa na amani na mshikamano.

Viongozi wa chama tawala wawapende kwa dhati wapinzani, kikiwa na upendo wa dhati, CCM itawaheshimu wapinzani na wapinzani wataiheshimu CCM na kushirikiana nayo kwa pamoja kuleta maendeleo endelevu.

Akitokea kiongozi anayejisikia y eye ndio yeye, kwa vile chama chake Kimeshinda uchaguzi na y eye ndie mkuu, basi anajiona yeye ndie kila kitu, yeye ndie alfa na omega wa Tanzanian, na mtu akikohoa tuu kama Lema aluvyokohoa, then ataozea jela!. Katiba inatoa haki fulani za msingi sana, alafu anajitokeza mtu mmoja aliyeapa kuilinda hiyo katiba huku akiangaliwa tuu, kiongozi wa namna hii haonyeshi upendo wa kweli toka moyoni, ila ataheshimiwa kwa heshima ya uoga, Watanzania wote wakiwemo wapinzani, watatii kila amri sio kwa utii wa upendo, bali kwa utii wa nidhamu ya uoga.

Tanzania ni yetu wote, Tupendane kwa dhati kwa Upendo wa Kweli, Tuheshimiane, tuijenge nchi yetu. Tukipendana, tutaheshimiana na tutashirikiana kuleta maendeleo ya kulijenga taifa letu na kuliletea maendeleo.

Heri ya Mwaka Mpya 2017.

Paskali
Paskali, all said, umeandika vizuri sana. Siyo nchi hii kwa sasa. Nyerere alisema Kaburu ni kaburu tu! Ukiona mtu mwenye madaraka anaomba WAPINZANIA WAFE ( na siyo upinzania ufe, mind you!), IBAKI CCM, huyo hakuna reconsiliation, hakuna upendo, there is NO NOTHING!
 
Mbona mnachekesha hivyo, Mtoa Mada uko Sawa Sawa kweli?

Kwani sheria iliyomuweka mmiliki wa JF ilipitishwa na Nani? Hivi kweli tunaweza kushirikiana na Adui, mbona huo ni utani sasa mnaleta.

Hivi kweli kila siku Wapinzani wanawekwa ndani harafu unasema tushirikiane kivipi yani sijakuelewa labda ungekuja kufafanua kidogo,

Ushirikiano unakuja kwa kuheshimiana, sasa Kama huyu mwingine anamwona mwenzake mbuzi tu heshima itatoka wapi?

Au unamaanisha wapinzani lazima waiheshimu CCM kwasabu ndio inaongoza hata kama haiwezi.
 
Pascal watu watapendana vipi ikiwa wengine wanasomeshwa na serikali huku wengine na baba zao. Hilo tabaka litazibwaje ?!
Upendo utoke wapi wakati vyeo na ajira mpaka uwe kada wa chama chetu ?!

Yoote uliyoyaandika ni sawa lakini watawala wetu wanayaishi hayo ?! Wanawaona wenye mawazo tofauti kama mahaini ambao stahili yao ni kuwekwa ndani na hata korti zetu hazipewi nafasi ya kutenda wajibu wao, halafu hayo mapenzi yatoke wapi mkuu ?!
 
Pascal Mayalla tunakuombea kwa Mungu azidi kukupa hekima zaidi hongera sana kwa andiko lako umeandika point tupu..
Kama CCM ina upendo wa dhati, pia itachukua yale mazuri ya wapinzani na kuwashirikisha katika kuya implement kwa mustakabali mwema wa taifa letu.

Happy new year Wana JF pamoja na uongozi mzima wa JF.
 
Wanabodi,
Heri ya Mwaka Mpya 2017.
Hizi ni salaam zangu kwa wana jf wenzangu kuwa kwa mwaka 2016 na miaka ya nyuma, sote tumeshuhudia jinsi JF ilivyo na impact kwa mustakabali wa taifa hili.

Kitendo cha kukamatwa mmiliki wa JF, Maxence Melo, kwa kukataa kutoa majina ya wana jf kwa polisi ili washughulikiwe, ni uthibitisho tosha kuwa kuna michango ya wana jf ni mkuki ambao unawachoma wahusika mpaka moyoni kiasi cha kuwasaka. This means JF has powers, it's a powerful tool to bring about the changes we anticipate.

Hivyo jf has a role to play kwa kutumia the jf powers kwenye ku shape the direction na mustakabali wa taifa letu, lets be more responsible towards kujenga na sio kubomoa, hivyo natoa wito kwa wana JF kwa mwaka huu, tuhubiri zaidi Upendo, ili kujenga mshikamano kwa CCM na Wapinzani kupendana, kuheshimiana, na kushirikiana kuleta maendeleo kwa taifa letu kwa sababu, together we can!.

Upendo ndio amri kuu kuliko zote, CCM na serikali yake ikiwapenda kwa dhati wapinzani, itawaheshimu, haitawanyanyasha, itawatendea haki, itaendesha chaguzi zake kwa uhuru na haki, hivyo itashinda kwa haki, na wapinzani watashindwa kwa haki, hivyo watakubali kushindwa na kumpongeza mshindi na kushirikiana nae kuleta maendeleo.

Kama CCM ina upendo wa dhati, pia itachukua yale mazuri ya wapinzani na kuwashirikisha katika kuya implement kwa mustakabali mwema wa taifa letu.

Kwa kwa hali ilivyo sasa kati ya CCM na Wapinzani ni kama paka na panya, kwa CCM ikijiona ndio pekee yenye hati miliki ya kutawala taifa hili la Tanzania milele, hivyo yoyote atakayetishia status quo ya CCM kutawala milele, kuonekana adui, na sisi jf tukiwemo, hivyo CCM inawaona wapinzani kama maadui wenye lengo la kuwapokonya kitumbua chake, hivyo kutumia kila mbinu kuhakikisha inabakia madarakani ikiwemo kutumia mbinu ya bao la mkono, kuminya demokrasia, kuminya uhuru, kukandamiza upinzani hata ikibidi kuikanyaga katiba, wataikanyaga kwa lengo la kuwakomoa wapinzani kumbe wanawakomoa Watanzania. Kwa Hali hii mtu inakubidi ujiulize kama huu ni upendo wa dhati kwa Watanzania.

Tanzania ni yetu sote, hii nchi sio mali ya CCM au mtu yoyote, ni mali ya Watanzania wote wakiwemo CCM wenye dhamana ya kutawala lakini pia Wapinzani na wengine wote hata wasio na vyama ndio maana tukaweka vipengele vya haki za kila mtu na wajibu wake kwenye katiba yetu. CCM na serikali yake wana wajibu wa kuiheshimu katiba, sheria taratibu na kanuni ili kuonyesha upendo wa dhati kwa Watanzania wote wakiwemo wapinzani, nayo pia itapendwa na wote, na kuheshimuwa na wote wakiwemo wapinzani hivyo sote tutapendana kwa dhati kama Watanzania, tutaheshimiana na kushirikiana kuleta maendeleo ya taifa letu.

Naomba kukiri, nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili, baada ya kusoma salaam za mwaka mpya za mwana jf huyu katika bandiko lake
https://www.jamiiforums.com/threads/neno-la-mwaka-mpya-tugange-yajayo.

Mkuu Maggid, nimeguswa hii mistari hivyo nami nimekuwa inspired kuandika kitu.
Asante

Kwa kuanzia, kwanza naunga mkono hoja ya heshima, ni two way traffic, kwa mkubwa aheshimu mdogo na mdogo aheshimu mkubwa. Heshima ya kweli mzizi wake ni upendo, upendo ndio utangulie kwa watu wote tupendande, bila kujali tofauti zetu, ndipo heshima ya kweli ipatikane, kwenye upendo wa kweli kunakuwa na amani na mshikamano.

Viongozi wa chama tawala wawapende kwa dhati wapinzani, kikiwa na upendo wa dhati, CCM itawaheshimu wapinzani na wapinzani wataiheshimu CCM na kushirikiana nayo kwa pamoja kuleta maendeleo endelevu.

Akitokea kiongozi anayejisikia y eye ndio yeye, kwa vile chama chake Kimeshinda uchaguzi na y eye ndie mkuu, basi anajiona yeye ndie kila kitu, yeye ndie alfa na omega wa Tanzanian, na mtu akikohoa tuu kama Lema aluvyokohoa, then ataozea jela!. Katiba inatoa haki fulani za msingi sana, alafu anajitokeza mtu mmoja aliyeapa kuilinda hiyo katiba huku akiangaliwa tuu, kiongozi wa namna hii haonyeshi upendo wa kweli toka moyoni, ila ataheshimiwa kwa heshima ya uoga, Watanzania wote wakiwemo wapinzani, watatii kila amri sio kwa utii wa upendo, bali kwa utii wa nidhamu ya uoga.

Tanzania ni yetu wote, Tupendane kwa dhati kwa Upendo wa Kweli, Tuheshimiane, tuijenge nchi yetu. Tukipendana, tutaheshimiana na tutashirikiana kuleta maendeleo ya kulijenga taifa letu na kuliletea maendeleo.

Heri ya Mwaka Mpya 2017.

Paskali
Paskali Shemeji yangu nilipoiona Kadi ya Siku kuu imewatakia Heri wapendwa sana wa Baba,nikajitazama nikajikuta siye wanne hatuko kwenye nafasi yeyote ya Nchi hii japo aliongea akiwa Singida kwamba tusibaguane lakini baba amewaona watoto wake ni Wafanyakazi na Wanachama wa CCM tu,kaka yangu mkubwa hana chama yeye hakusalimiwa,Mjomba ni Mkulima yeye hakupata salamu, Mume wa shangazi ni ufugaji ana hata Ng'ombe wasio na mikoa yeye hajui kabisa kama anatakiwa kuishi kwenye ile nyumba aliyopanga,hawa wadogo zangu wote wao ni Upinzani nasikia Baba hataki Hata kuwaona!Nimewashauri wacheze music wa Darasa. ika yule boss wa Ewura nimeshauri acheze Ndi Ndi.ya lady Jideee.Nakutakia mwaka mpya mwema
 
Huwa napenda sana kuona mwanume anapoandika kama hivi ulivoandika.ubarikiwe mkuu.wanaume hatutakiwi kuwa na woga.yes kisomi zaidi umegusa kotekote,umechoma majani halafu ukapooza.happy new era
 
Mkuu Pascal naomba nikutakie "Her ya Mwaka Mpya 2017".... Kaka umenena vema kabsa but tatizo lipo kwa maccm na maroho yao ya ukatili, yani ni bora ukawa na urafki na Wanyama kuliko mashetan ya Lumumba
 
Wanabodi,
Heri ya Mwaka Mpya 2017.
Hizi ni salaam zangu kwa wana jf wenzangu kuwa kwa mwaka 2016 na miaka ya nyuma, sote tumeshuhudia jinsi JF ilivyo na impact kwa mustakabali wa taifa hili.

Kitendo cha kukamatwa mmiliki wa JF, Maxence Melo, kwa kukataa kutoa majina ya wana jf kwa polisi ili washughulikiwe, ni uthibitisho tosha kuwa kuna michango ya wana jf ni mkuki ambao unawachoma wahusika mpaka moyoni kiasi cha kuwasaka. This means JF has powers, it's a powerful tool to bring about the changes we anticipate.

Hivyo jf has a role to play kwa kutumia the jf powers kwenye ku shape the direction na mustakabali wa taifa letu, lets be more responsible towards kujenga na sio kubomoa, hivyo natoa wito kwa wana JF kwa mwaka huu, tuhubiri zaidi Upendo, ili kujenga mshikamano kwa CCM na Wapinzani kupendana, kuheshimiana, na kushirikiana kuleta maendeleo kwa taifa letu kwa sababu, together we can!.

Upendo ndio amri kuu kuliko zote, CCM na serikali yake ikiwapenda kwa dhati wapinzani, itawaheshimu, haitawanyanyasha, itawatendea haki, itaendesha chaguzi zake kwa uhuru na haki, hivyo itashinda kwa haki, na wapinzani watashindwa kwa haki, hivyo watakubali kushindwa na kumpongeza mshindi na kushirikiana nae kuleta maendeleo.

Kama CCM ina upendo wa dhati, pia itachukua yale mazuri ya wapinzani na kuwashirikisha katika kuya implement kwa mustakabali mwema wa taifa letu.

Kwa kwa hali ilivyo sasa kati ya CCM na Wapinzani ni kama paka na panya, kwa CCM ikijiona ndio pekee yenye hati miliki ya kutawala taifa hili la Tanzania milele, hivyo yoyote atakayetishia status quo ya CCM kutawala milele, kuonekana adui, na sisi jf tukiwemo, hivyo CCM inawaona wapinzani kama maadui wenye lengo la kuwapokonya kitumbua chake, hivyo kutumia kila mbinu kuhakikisha inabakia madarakani ikiwemo kutumia mbinu ya bao la mkono, kuminya demokrasia, kuminya uhuru, kukandamiza upinzani hata ikibidi kuikanyaga katiba, wataikanyaga kwa lengo la kuwakomoa wapinzani kumbe wanawakomoa Watanzania. Kwa Hali hii mtu inakubidi ujiulize kama huu ni upendo wa dhati kwa Watanzania.

Tanzania ni yetu sote, hii nchi sio mali ya CCM au mtu yoyote, ni mali ya Watanzania wote wakiwemo CCM wenye dhamana ya kutawala lakini pia Wapinzani na wengine wote hata wasio na vyama ndio maana tukaweka vipengele vya haki za kila mtu na wajibu wake kwenye katiba yetu. CCM na serikali yake wana wajibu wa kuiheshimu katiba, sheria taratibu na kanuni ili kuonyesha upendo wa dhati kwa Watanzania wote wakiwemo wapinzani, nayo pia itapendwa na wote, na kuheshimuwa na wote wakiwemo wapinzani hivyo sote tutapendana kwa dhati kama Watanzania, tutaheshimiana na kushirikiana kuleta maendeleo ya taifa letu.

Naomba kukiri, nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili, baada ya kusoma salaam za mwaka mpya za mwana jf huyu katika bandiko lake
https://www.jamiiforums.com/threads/neno-la-mwaka-mpya-tugange-yajayo.

Mkuu Maggid, nimeguswa hii mistari hivyo nami nimekuwa inspired kuandika kitu.
Asante

Kwa kuanzia, kwanza naunga mkono hoja ya heshima, ni two way traffic, kwa mkubwa aheshimu mdogo na mdogo aheshimu mkubwa. Heshima ya kweli mzizi wake ni upendo, upendo ndio utangulie kwa watu wote tupendande, bila kujali tofauti zetu, ndipo heshima ya kweli ipatikane, kwenye upendo wa kweli kunakuwa na amani na mshikamano.

Viongozi wa chama tawala wawapende kwa dhati wapinzani, kikiwa na upendo wa dhati, CCM itawaheshimu wapinzani na wapinzani wataiheshimu CCM na kushirikiana nayo kwa pamoja kuleta maendeleo endelevu.

Akitokea kiongozi anayejisikia y eye ndio yeye, kwa vile chama chake Kimeshinda uchaguzi na y eye ndie mkuu, basi anajiona yeye ndie kila kitu, yeye ndie alfa na omega wa Tanzanian, na mtu akikohoa tuu kama Lema aluvyokohoa, then ataozea jela!. Katiba inatoa haki fulani za msingi sana, alafu anajitokeza mtu mmoja aliyeapa kuilinda hiyo katiba huku akiangaliwa tuu, kiongozi wa namna hii haonyeshi upendo wa kweli toka moyoni, ila ataheshimiwa kwa heshima ya uoga, Watanzania wote wakiwemo wapinzani, watatii kila amri sio kwa utii wa upendo, bali kwa utii wa nidhamu ya uoga.

Tanzania ni yetu wote, Tupendane kwa dhati kwa Upendo wa Kweli, Tuheshimiane, tuijenge nchi yetu. Tukipendana, tutaheshimiana na tutashirikiana kuleta maendeleo ya kulijenga taifa letu na kuliletea maendeleo.

Heri ya Mwaka Mpya 2017.

Paskali

Huo upendo hauwezekani mkuu.

Kifua cha mwenyekiti wa CCM ambae ndo rais kimejaa CHUKI, HASIRA na UHASAMA dhidi ya upinzani.

Mwenyekiti wa CCM anahubiri maneno ambayo ukumwangalia usoni unaona wazi jinsi moyo wake ulivyo na chuki.

Chuki aliyonayo mwenyekiti wa CCM imefanya asiziamini hata taasisi zilizo chini ya serikali yake ukichukulia mfano wa TBC. Anaishia kupongeza television binafsi badala ya kuiwezesha TBC kufikia viwango vya wengine.

TULIMSEMA KIKWETE KUWA NI DHAIFU LAKINI HUYU WA SASA AMEFUNIKWA KWA MBALI SANA NA KIKWETE
 
Mkuu [HASHTAG]#Pascall[/HASHTAG] Mayala heri ya mwaka mpya na wenye fanaka tele.

Kwa kweli busara na hekima zako ni nzuri sana na walau tungeziazima ata hizo kidogo na kumpa sizonje kwa kuanzia hapo walau nchi ingesonga mbele.

Ushauri ni mzuri lakini wale watawala wenye asili ya makaburu hawawezi kukusikia wameshalewa madaraka na sina uhakika japo ulichokisema kikapenyeza kwenye masikio yao.
 
Paskali, all said, umeandika vizuri sana. Siyo nchi hii kwa sasa. Nyerere alisema Kaburu ni kaburu tu! Ukiona mtu mwenye madaraka anaomba WAPINZANIA WAFE ( na siyo upinzania ufe, mind you!), IBAKI CCM, huyo hakuna reconsiliation, hakuna upendo, there is NO NOTHING!
Mkuu Retired, human beings are not static, they are dynamic and hence change with time. Kama kila mmoja wetu atahubiri upendo na kuonyesha kwa maneno na matendo, then amini usiamini, atabadilika!, kwa sababu upendo wa kweli una powers along it.

Heri ya Mwaka Mpya.

Paskali
 
Back
Top Bottom