20.John Cheyo
21.Andrew chenge
22.peter Serukamba
23. Beatrice Shelukindo
24. Anna Abdallah
25. Mch.Getrude Lwakatale
26. Mch.Luckson Mwanjale
27. Albert Ntabaliba a.k.a obama
28. Christopher ole sendeka
29. Asumpta mshama
30. Samwel Sita
31.....
Au mmeamua kuwasema tu watu hapa? kuweni na subira 2015 siyo mbali kila mtu atafanya anachotaka jimboni kwake na siyo ku generalise hapa. Kumbukeni kuwa wengine mnaowataja wanakubalika katika majimbo yao na ikumbukwe kuwa majimbo mengi waliyoyapoteza CCM mwaka 2010 ni kwa makosa ya kuweka watu wasio kubalika na sijui kama watafanya makosa hayo tena mwaka 2015.
deadlivingstone Joni Komba.
Ni Sofia Paka a.k.a. Sofia Simba
Diana Chilolo, Pindi Chana, Esta Bulaya
Wengine ni Nyambari Nyangwine wa Tarime,Haji Mponda wa Ulanga magharibi,Abdul Mteketa wa Ifakara, Musa Zungu wa Ilala,Eugine Mwaiposa wa Ukonga, na wengineo kibao hawatakiwi kurudi bunge lijalo.
Wabunge wote wa CCM,TLP,UDP na John shibuda wa CDM
Tibaijuka,Ashumpta Mshana,Jason Rweikiza,Magufuli and Kagasheki.
mwingine kwenye orodha hiyo ni
a.wenje wa mwanza akagombee kwao ujaruoni
b. highness arudi uchagani
c.zitto kabwa agombee urais
d. steiven masele ni bogus kuliko wabunge wote ndani ya bunge
e.mpina wa kisesa, ampishe tumbo w
MOSHI ndio kitovu cha upinzani TanzaniaAngel, big up kama ndesa ataachia madaraka kwa kijana ni nzuri zaidi lakini unaamini hawa wengne watathubutu kweli !
hata mimi aiseeAkigombea Urais CDM wamepoteza kura yangu na za wote ninaoweza kuwashawishi wasiipigie kura ya urais.
MOSHI ndio kitovu cha upinzani Tanzania
Akigombea Urais CDM wamepoteza kura yangu na za wote ninaoweza kuwashawishi wasiipigie kura ya urais.
namba 15. Sawa mbona wengne bado vijana !
kwa upande wa ndesa napingana na wewe kuwa ni mroho wa madaraka alichokifanya Moshi kitabaki historia kwa vizazi na vizazi, naimani 2015 hatogombea tena atamwachia kijana JAFARY ambaye anakubalika sana.