2015 nachukua jimbo la Ngeleja!

2015 nachukua jimbo la Ngeleja!

frema120

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
5,098
Reaction score
1,341
wana bodi naomba mnishauli kuhusu jimbo la huyu jamaa, napanga kulichukua 2015 CDM.... nifanyenini? n.k
 

Attachments

  • 0001ngeleja.jpg
    0001ngeleja.jpg
    13 KB · Views: 135
hlo chukua mimi namaliza chuo mwaka kesho najipanga kuchukua jmbo na bwna maige hatuwez kuwa na madini na raslimal watu na ardhi afu tuish kwnye lile janga la umackin me mdogo lakn niko tofaut kidogo ntalichukua kupitia ccm akinichakachua napesa zake za kifisad narud nyumban cdm.
 
Hawa magamba ni wa kuwatupilia mbali tena sana!

Kuna yule mwingine wa Wilaya ya Arumeru/Magharibi naye ni janga kubwa sana kwa Taifa hili na kwa Wanainchi wake,Huyo kwenye wilaya yake Wanainchi wanalaani wemempaga kura ya nini.
Na nafikiri kuna Ndg anamalizia chuo na amehakiki baada ya hapo ni kuwanusuru Wanainchi wake kwa udi na uvumba.

sisiem ni janga kwa wanainchi!
 
Hawa magamba ni wa kuwatupilia mbali tena sana!

Kuna yule mwingine wa Wilaya ya Arumeru/Magharibi naye ni janga kubwa sana kwa Taifa hili na kwa Wanainchi wake,Huyo kwenye wilaya yake Wanainchi wanalaani wemempaga kura ya nini.
Na nafikiri kuna Ndg anamalizia chuo na amehakiki baada ya hapo ni kuwanusuru Wanainchi wake kwa udi na uvumba.

sisiem ni janga kwa wanainchi!

Unamuongelea Ole Medeiye? Kule tatizo chadema hawajaweka matawi, nimekuwa huko last week, hawampendi na hawamtaki Ole tatizo ni jinsi ya kumtoa, sasa nyie mliopo vyuoni endeleeni na ndoto za ubunge bila ya kuwa na matawi, nadhani kule Kiding'a na Ilboru lazima mjikite kuweka matawi otherwise msitarajie miujiza, muda unaenda bado miaka miaka miwili unusu. Msilewe sifa, siasa ni mipango madhubuti na sio blahblah au ndoto za zinduna. Kuweni makini.
 
hlo chukua mimi namaliza chuo mwaka kesho najipanga kuchukua jmbo na bwna maige hatuwez kuwa na madini na raslimal watu na ardhi afu tuish kwnye lile janga la umackin me mdogo lakn niko tofaut kidogo ntalichukua kupitia ccm akinichakachua napesa zake za kifisad narud nyumban cdm.

Nina mashaka kama kweli nyumbani kwenu ni CDM kama ulivyosema!!
 
Kama Ngeleja atagombea tena 2015 basi nitamwona ni Juha.
 
hlo chukua mimi namaliza chuo mwaka kesho najipanga kuchukua jmbo na bwna maige hatuwez kuwa na madini na raslimal watu na ardhi afu tuish kwnye lile janga la umackin me mdogo lakn niko tofaut kidogo ntalichukua kupitia ccm akinichakachua napesa zake za kifisad narud nyumban cdm.

we ni msaliti tu na hufiki mbali kwa style hyo eti narud nyumban chadema!we gamba tu cdm hatutaki vilaza kama wewe
 
Yeye na Lau Masha lao lilikuwa moja kuhonga na kutishia wapinzani wao; kwahiyo 2015 utafanikiwa kama hautatishika na vitisho vyake na Takuhuru itakusaidia kuchukua baadhi ya fedha zake kwahiyo hata honga
 
Je unaendesha programme ya elimu ya uraia $ M4C jimboni?
 
hlo chukua mimi namaliza chuo mwaka kesho najipanga kuchukua jmbo na bwna maige hatuwez kuwa na madini na raslimal watu na ardhi afu tuish kwnye lile janga la umackin me mdogo lakn niko tofaut kidogo ntalichukua kupitia ccm akinichakachua napesa zake za kifisad narud nyumban cdm.
Hivi unazani tatizo ni mtu au chama? Ni kipi CCM ya Maige imeshindwa kufanya ambacho CCM yako itakiweza? Kumbe ni gamba type? Huna jipya, unatambua fika kabisa kwamba CCM sio nyumbani kwa nini uishi maisha ya mwanampotevu? Bado hujiamini na huamini ktk M4C. Anza upya!
 
Ndugu zangu wa CDM, wala msitumie nguvu sana, hayo majimbo yapo wazi muda mrefu.
ANGALIZO; Kinachotakiwa ni kuwaimiza wananchi wapige kura na kuzilinda...
 
wana bodi naomba mnishauli kuhusu jimbo la huyu jamaa, napanga kulichukua 2015 CDM.... nifanyenini? n.k

ue na fedha sio chini ya million 200 za rushwa kwa sababu mwenzako anazo hizo na atazitumia kuhakikisha anapigiwa yeye kura:smiling:
 
wana bodi naomba mnishauli kuhusu jimbo la huyu jamaa, napanga kulichukua 2015 CDM.... nifanyenini? n.k

Sasa anza kufanya kama akina myika, tumia avatar yako na jina lako ili tuanze kukuandaa vizuri, lakini kupitia CDM.
 
Umemwuliza Marytna lakini? Maana na yeye ana nia na hilo jimbo! Angalieni msijetoana macho bure!
 
usiwe vuguvugu ni bora uwe moto au baridi utafanikiwa mkuu
hlo chukua mimi namaliza chuo mwaka kesho najipanga kuchukua jmbo na bwna maige hatuwez kuwa na madini na raslimal watu na ardhi afu tuish kwnye lile janga la umackin me mdogo lakn niko tofaut kidogo ntalichukua kupitia ccm akinichakachua napesa zake za kifisad narud nyumban cdm.
 
Back
Top Bottom