Pikipiki kila tawi?! Labda mikoa mingine hazikufika.Weweeeeee,acha kujifariji
Chama kilikuwa hakijawahi kugawa pikipiki ngazi ya tawi, mzee wa watu alitoa pesa za kununua usafiri kila tawi halafu wewe unasema hakuwa na impacts.
Kiujumla tamaa ya pesa imekiponza cdm,
Hata sasa mbowe anatumia umaarufu wa 2015 ambao mzee lowasa aliwapromote