MEXICANA
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 1,772
- 2,032
To be honesty, CHADEMA 2015 mlikula bata Sana katika uchaguzi ukilinganisha na CCM, pamoja na kwambaMzee Lowassa hakuwa na hoja na nguvu ya kushawishi watu,lakini bado watu tulikuwa tumefall in love to CHADEMA without any reason behind.
Kwanini? Kuna sababu kama mbili za msingi.
1. Kuchoshwa na CCM sababu ya rushwa na ufisadi
2. Kuiamini CHADEMA hasa kwa Sera nzuri na umakini kwa wakati huo
What happened, kumbe CHADEMA was doing unseen commercial business with mamvi.
Mkubali au msikubali kosa la kukaribisha watu toka CCM 2015 halisahishiki litagharimu si chini miongo miwili au mitatu hivi.
CCM uchaguzi 2020 itakuwa na kazi ndogo sana kwanza sioni hata umuhimu wa kukurupushana na wapinzani ,achaneni nao wameshajimaliza wenyewe 2015.
Kwanini? Kuna sababu kama mbili za msingi.
1. Kuchoshwa na CCM sababu ya rushwa na ufisadi
2. Kuiamini CHADEMA hasa kwa Sera nzuri na umakini kwa wakati huo
What happened, kumbe CHADEMA was doing unseen commercial business with mamvi.
Mkubali au msikubali kosa la kukaribisha watu toka CCM 2015 halisahishiki litagharimu si chini miongo miwili au mitatu hivi.
CCM uchaguzi 2020 itakuwa na kazi ndogo sana kwanza sioni hata umuhimu wa kukurupushana na wapinzani ,achaneni nao wameshajimaliza wenyewe 2015.