KndNo1
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 627
- 2,027
Hizo engines ulizozitaja zimekuja miaka ya 2010+..Engines bora za BMW zinaanzia B58 kwenda mbele.
Hizi za nyuma ilikuwa ni hit n miss.
Kama hela ipo, chukua BMW yenye engines za B58 au S58.
Engines za nyuma ya hapo ni hit n miss..!!!!???
M30 aka Big Six
M50
M60
M54
M57
S38
S50/52
Itakuwa huzifahamu engines za BMW..!