Bro number’s don’t lie
Go for Mercie
Good Fuel economy,performance ni ya kawaida kiukweli japo ina top 260km/hr labda usichukue hizi cc1780
Comfotability inategemea una compare na gari ipi lkn haiifiki kwa gari kama crown.
All in all you buy mercides you buy pride
Kila utapoonekana wanajua una pesa
Maintenance ni expensive kiasi
Hizi C200 kompressor hazina magonjwa mengi ndo maana hutasikia kelele humu za wamiliki wa Benz
Ni gari reliable sana na ngumu mno.umeme kiasi
ONYO:kama hukai mjini kene barabara na mafundi wa uhakika achana nayo mkuu