Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
- Thread starter
- #21
Bulesi, hili sio suala la uvccm, ni suala la nani ni nani miongoni mwa vijana wetu - nani anasikika sana, anasikilizwa sana na anavuta sana.
Alaska, hii ni orodha ya awali, michango yenu ndio itachangia kuiboresha zaidi - inawezekana kabisa Thabeet na Mnyika nao ni kumi bora.
Kichuguu, fanya uchunguzi utagundua - mfano wa haraka haraka ni hao wa mitandao ya simu, wanatufanya tu-chizike na ku-cheka na simu.
Alaska, hii ni orodha ya awali, michango yenu ndio itachangia kuiboresha zaidi - inawezekana kabisa Thabeet na Mnyika nao ni kumi bora.
Kichuguu, fanya uchunguzi utagundua - mfano wa haraka haraka ni hao wa mitandao ya simu, wanatufanya tu-chizike na ku-cheka na simu.