2 Yrs CCM Makatibu Wakuu 3, CHADEMA safu ileile

Najua ukweli mnaujua ila mnashindwa kutamka kuwa Ccm imeshindwa kutekeleza yale iliyo ridhia kwenye ilani yao ya uchaguzi ya mwaka 2010. Halafu mnaanza kutoa maneno yenu machafu mdomoni huku mkishindwa kutetea hoja zilizo letwa mbele yenu.

Msema ukweli siku zote huchukiwa na watu wanao penda kuongea uwongo.
 
Mkuu,Kabla ya kuijibu hoja yako, kwa mtazamo wangu ninaona kama wewe ndiyo una matatizo katika maamuzi ya kisiasa au una ubinafsi kisiasa.

Kutoka 1994 mpaka 2012 umekuwa mwanachama na kiongozi wa vyama vitatu tofauti vya kisiasa nchini, na sitakosea nikisema kuwa, ninafikiri hata kabla ya mageuzi ya kisiasa ulikuwa mwana CCM. What that tell us?.

Kwa upande wa hoja yako. Well, Una maoni gani nikisema kuwa CCM ni chama bora nchini kuliko vyama vingine vyote kwa sababu imeshinda chaguzi kuu nne kwa kubadilisha badilisha viongozi huku vyama vingine vikiwa na viongozi walewale. Can you buy my opinion?.

CHADEMA kuwa na katibu mkuu mmoja na CCM kubadilisha mara tatu hakutoi picha au conclusion kuwa Katibu mkuu wa CHADEMA ni bora kuliko wale waliokuwa Makatibu wakuu CCM . Hii inategemea na political set bar ambazo chama kimejiwekea. Ndiyo maana unakuta vyama vingine vya kisiasa vina viongozi wale wale toka vianzishwe. Is that make them better that other political party?. You tell me, is Mh Momose Cheyo is better than all other chairman of political party?, bear in mind, He has been Chairman toka UDP kije duniani.

Think bigger dude.

Wana Jf napenda kutowa hoja hii kuwa DK.slaa ni katibu mkuu bora kuliko makatbu wakuu wote wa vyama vya siasa nchi tanzania. tathimini hii nimeifanya mimi mwenyewe kutokana na namna anavyo fanya kazi za chama.

Niliwahi kufanya kazi na katbu mkuu wa NCCR mageuzi wakati ule ndugu. Mabere Malando mwaka 1994 mpaka 1997 niliwahi kufanya kazi na katbu mkuu wa CUF Chama cha wananchi ndugu. Maalim Seif sharif hamadi mwaka 1998 mpaka 2007 na ninafanya kazi na dk.slaa tokea mwaka 2008 mpaka leo hii nikiwa mtendaji katka ngazi za chini za uongozi kata,jimbo na wilaya nimegundua kuna tofauti kubwa sana kati ya Dk.Slaa na makatibu wezake.

1. dk.slaa anapo fanya ukaguzi wa chama anapo kuja ktk ngazi yako ya uongozi ana kagua Uhalali wa wajumbe.

2.anasoma mihutasari ya vikao vyenu kisha ana jenga hoja kupitia alicho soma.

3. hata akiwepo ofisini ana towa matamko kwa watendaji. hali hii haipo kwa makatibu wengine wa vyama vingine utakuta wao wanapo kagua chama huwa wanasomewa risala basi kisha wao hawakagui chochote.
 
Watabadilisha makatibu hadi wataenda kukodi wengine. Hapa dawa ni kubadilisha mwenyekiti tu, ndo kikwazo!
 
Nilitupa kadi yangu ya CCM kutokana na uzalendo alonao huyu mzee. Nashindwa kuelewa majitu mengine yanayosambaza picha zao za uchi kwa wanawake kupitia mitandao kujiita makada wa CCM huku wakikimbia familia zao. Hawa watatusaidia nini wakati hawawezi kuzisaidia familia zao. Mengine wauwaji wa Faru na Tembo ndio makatibu wetu wakuu? Hapana sikubaliano nao. Naomba Mungu 2015 ifike Kinana na kundi lote la CCM waende segerea.

Hatuwezi kuyaingilia mahusiano ya watu kwa vile ni private na hekima inatuasa pia kuwa mahusiano ni siri ya wapendanao. We can't poke our nose around na kufanya hivyo ni kutowatendea hao watu haki yao ya msingi kabisa.

Tukirudi kwenye hoja yako, watanzania tu hodari wa siasa za udaku. Tumebarikiwa uwezo mdogo wa kufikiri kiasi kwamba tunakuwa kama 'madodoki'. Kila kitu kinachokuja mbele yetu tunakikubali na kukiamini bila hata ya kuishughulisha akili yetu angalau kidogo.

Well, kama uzalendo wake baada ya kuwa katibu mkuu ndiyo ilikuwa chachu iliyokufanya kuitupa kadi ya chama basi una matatizo katika fikra za maamuzi kwa sababu chama siyo mtu mmoja bali ni wananchama. I'm sorry for you. Na huko ulikoenda kwa kumfuata huyo mtu, what happen if that person decide to jump to another political party or quit politics. Will you jump to another political party? Or ndiyo utakuwa mwisho wako kisiasa?.

Halafu, itakuwaje huyo awe ni katibu wako wakati kama ulivyosema, ulishaitupa kadi ya chama chake na hutaki tena kusikia chochote.
 
CHADEMA kuwa na katibu mkuu mmoja na CCM kubadilisha mara tatu hakutoi picha au conclusion kuwa Katibu mkuu wa CHADEMA ni bora kuliko wale waliokuwa Makatibu wakuu CCM . Hii inategemea na political set bar ambazo chama kimejiwekea. Ndiyo maana unakuta vyama vingine vya kisiasa vina viongozi wale wale toka vianzishwe. Is that make them better that other political party?. You tell me, is Mh Momose Cheyo is better than all other political parties?, bear in mind, He has been Chairman toka UDP kije duniani.Think bigger
dude.

There is an old adage which goes like this "If aren't broken don't try to fix it! Does it ring any bell to you"?!

And we know which party is trying to fix its sinking ship!
 
There is an old adage which goes like this "If aren't broken don't try to fix it! Does it ring any bell to you"?!

It's true dude. It works both ways according to political set bar with the resources available.

I can give you primitive example but true. Hata kwenye ligi za mpira wa miguu. Kuna timu ambazo wao wakiweza kubakia kwenye ligi basi hiyo kwao ndiyo set bar (aren't broken) wakati kwenye ligi hiyo hiyo, timu nyingine isipochukua kikombe basi kwake ni failure and the manager will get the sack (broken). Is that make the other team better than the one which sack the manager?. Does that make you hear the bell ring!!
 
CCM kama Chelsea inavyobadili makocha. Dalili moja kubwa kwamba chama hiki kikongwe sio tu kimeishiwa SERA na ITIKADI bali hata VIONGOZI makini, waadilifu na wanaokubalika hakina!
 
Hawa jamaa wamechoka niko likizo hapa Musoma leo naongea na Mzee ambaye ni mjumbe wa nyumba kumi anasema kwa kweli hali yao ni mbaya sana hapa Mjini kushinda labda ni kwa muujiza.
 
CCM wanaogopana tu. Hauwezi kubadili KAMATI KUU ukamwacha MWENYEKITI. Hauwezi kubadili KATIBU MKUU mara zote hizi bila kujiuliza kama Mwenyekiti anafaa kuendelea kuwepo!
 
CS;

Najua nitapigwa madongo. Lakini kwa sisi tusio na vyama vya siasa tunaweza kuchambua vingine. CCM alitoa ahadi kuwa akishinda atafanya hivi na vile. Na vilevile ndio mwenye kuwa na bajeti ya nchi na kuifanyia mipango ya utekelezaji. Hivyo akiboronga mtaji wake wa kisiasa unapungua kwa kiasi kikubwa.

Kwa upande mwingine. CDM kazi yake ni kuonyesha wapi watawala wanakosea au wanaonea. CDM are activists. The real test of characters will come when we, the people, give CDM power.

Not just activists, actually less as such, but more importantly alternative political party providing alternative ideological, policy and political cultural directions.
 
chadema ina milikiwa na uko wa kichaga hakuna demokrasia wamejipanga hawawezi badili uongozi kwani slaa na mnyika ni watu wa ndio mzee mtei na mbowe
 
Afadhali Yusufu na Mukama hawakuwa na matakataka ya pekee kama huyu Kinana, naona patachimbika, mbona wapo wengi wazuri tu kwa nini wang'ang'aniwe wenye yellow card?

dhamira ya chama haiwezi kuhitimishwa na safu ya viongzi, bali itikadi ya kweli yenye dhamira thabiti.hata ungeleta malaika kwenye dhamira mfu hatafanya lolote.Leo mdau yeyote wa jf ani thibitihie kama bado ccm wanaitikadi ya ujamaa na kujitegemea , na pia kama itikadi hiyo bado ipo kutetea wanyonge hasa wavijijini ambao wengi wao ni wakulima wa kijembe cha mkononi.Kijitokeza nampa dau.CCM na gihiriba ya ujamaa mfu wenye dhamira ya kukumbatia wafisadi na safu ya uongozi wakujuana na nasaba.kwa sasa watendaji wabovu serikalini wamejaa na wakifanya uozo ndo wanapongezwa.Hakuna asiyejua mkurugezi wa jiji la mwanza na arusha walichofanya kuifurahisha ccm, huku wakikiuka waziwazi sheria za serikali ya mitaa.mpaka mkurugenzi wa kishapu kaamua kula bil 6 sita si kweli alikuwa pekee yake bali mtandao kuanzia ccm yenyewe serikali kuu .karibu 75% ya wakuu wa wilaya na madc wapo kuua upinzani badala ya kuwatumiakia wananchi.Sijui ukiua upinzani ndo maisha bora kwa kila matanzania.Hata kama ccn ingepanga safu ya viongozi maprofesa , itakuwa bure kama dhamira yake na itikadi yake si kuwatumiakia wanyonge .Dhamira ya ccm ni uraisi nani apate nanani hafai, kukumbatia mafisadi, kuapanga safu ya viongozi kinasaba, kukumbatia viongozi wabovu na wapiga deal.
 
Nusura wambadilishe na mwenyekiti wao. Hata sikumbuki ilikuaje wakashindwa
 
.......Ndiyo maana unakuta vyama vingine vya kisiasa vina viongozi wale wale toka vianzishwe. Is that make them better that other political party?. You tell me, is Mh Momose Cheyo is better than all other chairman of political party?, bear in mind, He has been Chairman toka UDP kije duniani.
Think bigger dude.

"A slip of a tongue" (Hon. Mulugo, 2012)
 
Back
Top Bottom