Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,664
- Thread starter
- #61
Ila ulikuwa kiwembe sana mwanangu


haki unanionea aisee. Me ni goodboy, sema kipindi hicho mambo yalikuwa tight sana, harufu ya msosi unaickia kwa majirani ukiwa unapita njiani.Ushawahi lala njaa siku 2 mfululizo (48 hours), alaf na bado pia hujui kama utapata kitu cha kula?
Siku ya 3 unakutana na mtu anakupa jero tu, baada ya kujielezea sana kwake. Hiyo jero unaingia nayo sokoni unanunua zile ndizi mbivu ambazo zimeiva sana hadi zinaelekea kuharibika kiasi kwamba wateja hazina, muuzaji unampa hiyo jero anakwambia chukua zote




.



