1928-2017; The Devil is dead!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,782
Zbigniew Brzezinski! ( *1928-2017†)
image-1147173-860_poster_16x9-opbn-1147173.jpg
 
..."To day it is very easy to kill one million people but it is very difficult to control them"
Zbigniew Brzezinski
Huyu ndugu ndo kinara na mwasisi wa Us foreign policy....depopulation of third world countries
 
..."To day it is very easy to kill one million people but it is very difficult to control them"
Zbigniew Brzezinski
Huyu ndugu ndo kinara na mwasisi wa Us foreign policy....depopulation of third world countries
Sijui unamzungumzia ZB yupi maana hiyo sifa uliyompa haiendani kabisa na ZB aliyekuwa mshauri wa rais carter.
Marekani kwa kipindi cha miaka 30 hivi hapajawahi kuwa na rais ambaye alikuwa anaamin juu ya 'sanctity of life' kama rais carter na Brzezinski ambaye alikuwa anafundisha chuo cha harvard na kumfanya kuwa mshauri wake wa sera za mambo ya nje. ZB alikuwa mkimbizi toka poland ambapo alishuhudia madhila ya kibinadamu ambayo yalitokea kwao [pamoja na uropa yote] kutokana na vita ya 2 ya dunia.
Alikuwa anauchukia ukomonisti wa kirusi kupita kiasi na alifanya kila njia kuhakikisha kuwa urusi haijiongezi kidola zaidi ya ilipo.
Katika kipindi chake [ambapo utengenezaji wa silaha za maangamizo ulikuwa umefika mahala pabaya] alifanikisha makubaliano ya SALT2 ili kupunguza joto lililokuwepo. Vilevile katika kipindi hicho alifanya maridhiano kati ya china na marekani kwa kuitambua serikali ya china. kwa upande wa ma bwanyeye walimchukia kwani alisababisha taiwani itambulike kama sehemu ya china na mwisho wa siku china ikaweza kukalia kiti chake un ambacho kilikuwa kinakaliwa na taiwan.
Unaposema kuwa yeye ni 'kinara wa depopulation of third world' kwani katika kipindi chake pamoja na rais carter, hali ya dunia ilikuwa imepoa kiasi .
Kwa kukumbuka kazi nzuri aliyofanya a, mwaka 1981 alipewa nishani ya uhuru hasa kuhuisha mahusiano kati ya US na China[ alilaniwa na mabwanyeye kwa kiasi kikubwa sana na wengine waliwahi kusema kuwa alimpotosha sana rais carter.
Malipo yote kwa mungu

RIP- ZBIGNIEW BRZEZINSKI
 
Sijui unamzungumzia ZB yupi maana hiyo sifa uliyompa haiendani kabisa na ZB aliyekuwa mshauri wa rais carter.
Marekani kwa kipindi cha miaka 30 hivi hapajawahi kuwa na rais ambaye alikuwa anaamin juu ya 'sanctity of life' kama rais carter na Brzezinski ambaye alikuwa anafundisha chuo cha harvard na kumfanya kuwa mshauri wake wa sera za mambo ya nje. ZB alikuwa mkimbizi toka poland ambapo alishuhudia madhila ya kibinadamu ambayo yalitokea kwao [pamoja na uropa yote] kutokana na vita ya 2 ya dunia.
Alikuwa anauchukia ukomonisti wa kirusi kupita kiasi na alifanya kila njia kuhakikisha kuwa urusi haijiongezi kidola zaidi ya ilipo.
Katika kipindi chake [ambapo utengenezaji wa silaha za maangamizo ulikuwa umefika mahala pabaya] alifanikisha makubaliano ya SALT2 ili kupunguza joto lililokuwepo. Vilevile katika kipindi hicho alifanya maridhiano kati ya china na marekani kwa kuitambua serikali ya china. kwa upande wa ma bwanyeye walimchukia kwani alisababisha taiwani itambulike kama sehemu ya china na mwisho wa siku china ikaweza kukalia kiti chake un ambacho kilikuwa kinakaliwa na taiwan.
Unaposema kuwa yeye ni 'kinara wa depopulation of third world' kwani katika kipindi chake pamoja na rais carter, hali ya dunia ilikuwa imepoa kiasi .
Kwa kukumbuka kazi nzuri aliyofanya a, mwaka 1981 alipewa nishani ya uhuru hasa kuhuisha mahusiano kati ya US na China[ alilaniwa na mabwanyeye kwa kiasi kikubwa sana na wengine waliwahi kusema kuwa alimpotosha sana rais carter.
Malipo yote kwa mungu

RIP- ZBIGNIEW BRZEZINSKI
daah haya ndugu
 
Major foreign policy events during his time in office included the normalization of relations with the People's Republic of China (and the severing of ties with the Republic of China on Taiwan); the signing of the second Strategic Arms Limitation Treaty (SALT II); the brokering of the Camp David Accords; the transition of Iran from an important U.S. ally to an anti-Western Islamic Republic; encouraging dissidents in Eastern Europe and emphasizing human rights in order to undermine the influence of the Soviet Union;the arming of the mujahideen prior to the Soviet invasion of Afghanistan; and the signing of the Torrijos-Carter Treaties relinquishing U.S. control of the Panama Canal after 1999.

Brzezinski served as the Robert E. Osgood Professor of American Foreign Policy at Johns Hopkins University's School of Advanced International Studies, a scholar at the Center for Strategic and International Studies, and a member of various boards and councils. He appeared frequently as an expert on the PBS program The NewsHour with Jim Lehrer, ABC News' This Week with Christiane Amanpour, and on MSNBC's Morning Joe, where his daughter, Mika Brzezinski, is co-anchor. He was a supporter of the Prague Process. His eldest son, Ian, is a foreign policy expert, and his youngest son, Mark, was the United States Ambassador to Sweden from 2011 to 2015. On May 26, 2017, Brzezinski died at age 89.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom