isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,125
- 6,250
Nilimaanisha AngelinaMbona kama hao watoto wanafanana na Wanyarwanda au ni macho yangu?
Asili ya Ethiopians na Rwandese zinafanana
Nilimaanisha AngelinaMbona kama hao watoto wanafanana na Wanyarwanda au ni macho yangu?
.ule ujinga hua naupita kwa kasi ya ajabuuKwetu wangechukua picha ya huyo mtoto kumpost mitandaoni halafu wanakwambia "Ukipita bila kusema amen utataabika mwaka mzima"
Waswahili kwa kujifanya tunazijua hizi dini hatujambo
Yaani huyu dada namna alivyomzuri ningekuwa nampa mimba kila mwaka si kwa utamu alionao.
Mtoto ni mtamu balaaYaani lips zake tuu mbona kulamba koni ingekuwa kila leo
Nimesoma article nyingine inasema mama yake yuko hai na anamtaka mwanae. Ila hii inatuambia alishafariki so which is which?Mama yake yupo hai.
Yeah mule kakamua haswa. Mr &Mrs. Smith ndio iliyowakutanisha wanandoa Hawa, nayo wamecheza vizuri sanaWanawake wote wangekuwa na roho ya hivi dunia ingekuwa na amani sana. Hapa Afrika ni ngumu sana mwanamke kumpenda mtoto wa mwanamke mwingine
Mungu ambariki Angelina Jolie
Movie yake nayoipenda inaitwa S.A.L.T
Wanyarwanda asili yao ni Somalia and Ethiopia na huyo mtoto ni Muethiopia mkuu.Mbona kama hao watoto wanafanana na Wanyarwanda au ni macho yangu?
Penye pesa mkuu hakuna ubaya. Pesa inatakatisha, pesa inang'arisha, pesa inapendezesha, pesa inakuaminisha mkuuBinti kawa mzuri sana
Hahaha mkuu ubazazi huo. Dogo keshatengenezewa maisha, itakuwa vyema kama ataenda kuolewa nyumbani EthiopiaKashakua hivyo anafaha kwa matumizi ya kibinadamu.
Ni upendo wa hali ya juu sana kumlea mtoto wa mwanamke mwingine na kumpa kila kitu kama mwanao wa kumzaa.Kampa mtu maisha mazuri eeh.
Hii ni zaidi ya kutoa pesa, maana unachukua dhamana ya mzazi kabisa kila kitu.
Si ndo hapoHatakiwi kumchukia mama yake kama yupo,kama angelelewa na mama yake asingefika hapo alipo (kila kitu kinachotokea huwa kina sababu yake)