Mswahili hua anakwambia "kina roho mbaya ndo maana hakinenepi" 😀😆Ukifanya jambo jema au ukiwa mwema basi hata sura yako itasifiwa kua wewe ni mzuri,ila ukiwa katili na roho mbaya basi hata sura yako itaonekana mbaya!
Kama hii habari ingeletwa kua Angelina Jolie kafanya jambo baya na la kikatili basi bila shaka angepondwa na wachangiaji wengi sana,bila shaka hata angeambiwa kua ndio maana kimekonda japo kina hela.
kwa kweli sijaambulia chochote
Hahaha Dahh!!!Anti America akina Bwana Utam na hearly watapinga, yaana wao ni wapingaji wa kila kitu iwapo tu kinafanywa na Marekani au Mmarekani
Ujinga na unafiki wetu ndio tatizo , Sasa mtu akisema ameen ndio inasaidia nn !!!Kwetu wangechukua picha ya huyo mtoto kumpost mitandaoni halafu wanakwambia "Ukipita bila kusema amen utataabika mwaka mzima"
Waswahili kwa kujifanya tunazijua hizi dini hatujambo
Hatakiwi kumchukia mama yake kama yupo,kama angelelewa na mama yake asingefika hapo alipo (kila kitu kinachotokea huwa kina sababu yake)Mamaake mzazi huyu binti yuko hai na wamefanana balaa
Huyu binti hamtaki her biological mom, coz Hana bond nae( madai yake)
Hii ni ishu kama ya Baloteli
Tofautisha matendo ya nchi ( serikali) na mtu mmoja ( Raia)Anti America akina Bwana Utam na hearly watapinga, yaana wao ni wapingaji wa kila kitu iwapo tu kinafanywa na Marekani au Mmarekani
Mama yake yupo hai.Mama yake mzazi alikufa kwa ukimwi na mtoto alikuwa anasumbuliwa na utapia mlo ndipo Angelina alipotembelea Adis Ababa Ethiopia akamuasili 2005.
Mbona kama hao watoto wanafanana na Wanyarwanda au ni macho yangu?Sura inaakisi roho, nafsi na moyo wa mtu kwa asilimia kadhaa.