Nilidhani ni mimi pekee niliyeshtuka, kwa mabadiliko haya nimejaribu kidogo kuzirudia stations zingine lakini imekuwa ngumu. Nawaza kuboresha mfumo wa cd/flash disc ili nirudi huko maana hakuna namna.
Lakini ni kama bbc world inakuwepo lakini mida haitabiriki.