10 Good Reasons for you to Date and Marry an Engineer

10 Good Reasons for you to Date and Marry an Engineer

hahaaa nakumbuka nshawahi kuambia before sijakutokes nilikaa nikakudesign then nikafanya test ndo nikakutongoza..lol...

kuna ukweli hapo unaowahusu.
 
ha ha ha, alitestia wapi?

Umenichekesha kwa kweli

hahaaa nakumbuka nshawahi kuambia before sijakutokes nilikaa nikakudesign then nikafanya test ndo nikakutongoza..lol...

kuna ukweli hapo unaowahusu.
 
ha ha ha, alitestia wapi?

Umenichekesha kwa kweli

hahaa yaani we acha tu... alitestia kichwani kwake baada ya kugundua kuwa nameet specifications zake..

Kongosho ukikutana na injinia utafurahi sana..

kuna siku tulikua aliniambia sijuii nini gravity free yaani raha tupu...he never bores me....
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha, ujue hata Asprin ni injinia?

Ila mwanamme akishakuwa ba 'brain' tu ana raha yake

hahaa yaani we acha tu... alitestia kichwani kwake baada ya kugundua kuwa nameet specifications zake..

Kongosho ukikutana na injinia utafurahi sana..

kuna siku tulikua aliniambia sijuii nini gravity free yaani raha tupu...he never bores me....
 
Last edited by a moderator:
We know how to design and operate human's bolt & nuts!!!!
 
Engineer will endup regitering you (marry you) if you give him a chance as it is the ethic for them
 
ha ha ha, ujue hata Asprin ni injinia?

Ila mwanamme akishakuwa ba 'brain' tu ana raha yake
hey you! hii inatwa profeshen koling.... you have been warned!!

haaha Kongosho ni kweli.. halafu anakua si mtu wa kubadilika badilika mara nyingi..

hebu mwambie Asprin aje hapa atueleze jinsi anavyo mmagnitaizi my wife wake plz.
Kiukweli kabisa my Little Angel ningeweza kuja, tatizo mie ako veeeeeeery busy...!

P7140409.JPG
 
Last edited by a moderator:
hahaa yaani we acha tu... alitestia kichwani kwake baada ya kugundua kuwa nameet specifications zake..

Kongosho ukikutana na injinia utafurahi sana..

kuna siku tulikua aliniambia sijuii nini gravity free yaani raha tupu...he never bores me....
Na katika yooote hayo, ulihakikisha amekonsida factor of safety?:becky::becky::becky:
 
Hata velocity ya mwanamke huwa wanaangalia
 
Wadada ma engineer vibuli yani wana jeuri sana, kama una f/a utaishia kupata magonjwa ya moyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom