Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
- Thread starter
- #21
@Swts na wewe ubarikiwe inshallah.shukria mzizi mkavu! Me napenda papai na tango.Asante kwa mchango wako mzuri kwa tusoyajua kuhusu afya zetu..utabarikiwa sana
@GOKILI Nitashukuru wakizifanyia kazi watu mimi ndio furaha yangu asante Mkuu.:cheer2:mkuu keep it up kuelimisha umma.thread zako zinabamba na watu wengi huku nyumbani wanazifanyia kazi.
Mkuu@manasa jaribu kunywa hiyo Juice ya Apple utaipenda sana inshallah.Thanx dr i l'l try to make apple juice sijawahi kunywa natural one.