afroD hiyo ni kweli
ila ndugu aliuliza tu swali
nawe ukawa mkali
japo sio kama pilipili
nimeupenda huu ukali
japo nilikuwa na morali
ya kujua jibu la lile swali
ok, nisikuudhi dada yangu
wewe ni muhimu sana kwangu
natumai ulienda kumwabudu Mungu
japo sijui kama leo ni siku yako ya kuabudu
hahhaha !!!!!AFro natumai weekend imeisha vema.