Mie nakaa na mudada mumoja ananisadiaga shughuli zangu.Huyu mudada alikuja kama housegirl but nikamupeleka shule na kumuweka msafi mpaka sasa ninaishi nae.
Ni mudogo yangu kabisa.
wikiend aliniambia dada naenda kwa mupenzi yake atalala huko.
Akaenda alivyorudi nikamuambia pitia kwa munna anauza sandals 45,000 ukija home nitakupa hela.
Akanijibu dada sina.
Mie kila nikienda ananipa 10,000tshs after sex hata nikimuambia ninataka nini hanipi yeye ananipa afta sex.
Huyu mwanaume hafai kwa nini amupe after sex?
Tena 10,000.
It will be wise kama hamupi aftasex bt anamuingizia akaunt au anamumpesa mda wowote.
mimi nimemuchukia bora Alex hawajawahi sex but anamujali sana.
Na nyie munaopewa ten thousand afta sex musipokee.
Makoye78 pokea likes billion moja mpaka akaunti yako ijae. Umefikiria deep sana ukaja na hoja yenye ujazo, naomba kutoa hoja, "Huyu dada Zahra White aijibu sasa hivi kabla haijapoa tumsikie"Zahra White, wewe ni dada yangu ila katika hili NINAKUKANA HADHARANI, acha kumfundisha mtoto wa watu tabia yako chafu, subiri wa kwako wakikua utawafundisha, and so you will make alot of money through them! Mrudishe kwao kama umechoka kuishi naye! Kumbe ulimfundisha kuoga vizuri ili umfanye mtaji eeeeh...? After all kwani wewe unapewaga shilingi ngapi wakisha kuduu? Ungelikuwa unapewa nyingi, ya nini umkope elfu 45000 za sandles? Si ungelimpigia dereva taksi kisha akaenda kwa Munna akaleta viatu na wewe ukamlipa 70,000! 45,000 being for sandles and 25,000 as transport allowance? Acha hizi Zahra.......!
Wanaume tuongeze dau,walau iwe 20,000/=mpaka mkongo ameamua kulalamika JF ipo kazi
Bora libaki dau hilohilo kuliko Kukopwa.
Maana wengine ni wakopaji wazuri sana.
hili ni eneo kama unaenda babati, bila shaka wewe "papaaaa mukongo"
Bora libaki dau hilohilo kuliko Kukopwa.
Maana wengine ni wakopaji wazuri sana.
Mie nakaa na mudada mumoja ananisadiaga shughuli zangu.Huyu mudada alikuja kama housegirl but nikamupeleka shule na kumuweka msafi mpaka sasa ninaishi nae.
Ni mudogo yangu kabisa.
wikiend aliniambia dada naenda kwa mupenzi yake atalala huko.
Akaenda alivyorudi nikamuambia pitia kwa munna anauza sandals 45,000 ukija home nitakupa hela.
Akanijibu dada sina.
Mie kila nikienda ananipa 10,000tshs after sex hata nikimuambia ninataka nini hanipi yeye ananipa afta sex.
Huyu mwanaume hafai kwa nini amupe after sex?
Tena 10,000.
It will be wise kama hamupi aftasex bt anamuingizia akaunt au anamumpesa mda wowote.
mimi nimemuchukia bora Alex hawajawahi sex but anamujali sana.
Na nyie munaopewa ten thousand afta sex musipokee.