1 trending Tanzania (hii ni nafasi ya WCB kwa nini mjisumbue kushindana nao?)

Inaonekana una ugonjwa wa Trending no.1, kwa ukubwa wa diamond na followers wake lazima a trend tu


Ila bado nyimbo zake za sasa hazijatoboa na kuna ambayo ilichechemea ku trend..achilia mbali ile iliyofutwa kwa kuba bit

Pamoja na kuwa nyimbo hizo zote zina ad, diamond ana advertise na bado ana followers wengi


Kiba ana subscribers chini ya laki tano, wakati diamond anao zaidi ya 3m unaona gap hili

Kiba hana ad kwenye nyimbo zake diamond ana ad


Kiba is strong, na mashabiki wake ni loyal mno, yaani Kiba hakutakiwa hata kuingia trending

Fact kuwa ana followers wachache sana, hatangazi nyimbo zake utube na bado anaweza kunusa namba moja, huyu sio wa kumdharau ...Diamond anajua hilo sana


Pia wake wengine jamani...wanatoa miziki kila siku na hauoni iki trend
Kwanza unauhakika Ile video ilifutwa kwa kuiba beat? Kwann audio haikufutwa Kama shida Ni beat? Alafu unaongelea subscribers wa mond wakat wimbo upo kwa zuchu, fact uliyoongea Ni advertisement lakin YouTube nisehem ya advertisement tu ndio maana hata ukienda kwenye music platform nyingine WCB bado wanafanya vzr tu
 
Kazi ya hater ni kukumbusha tu kuna vipya vingi chini ya jua ila akili mnaikalia kwa kisingizio cha hakuna jipya chini ya jua.
hakuna kipya chini ya jua hata hivyo mwenye idea yake yuko kimya ila kuna watu mnaviherehere kama bao la kwanza.
 
Yeah juzi mmefutiwa wimbo kwa wizi. Video ya tanasha ft domo mliiba idea brazil mpaka msanii wa watu akalalamika

Mwambie domo achekeche akili. Mpo trending lakin zuchu hana hata hit song moja
Wezi???kivipi??? kuna msanii ulishawahi kumsikia akisema ameibiwa na wcb???
 
Hivi Mondi anaweza akala huyu Zuchu eeh!! Maana wamejiachia hovyo sana humo ndani..

Hatari,...
 
Umefuatilia taarifa vizuri au unasema tu??? Yule mbrazil hakulalamika ila alithibitisha kuwa Diamond aliomba ridhaa ya kutumia kazi yake.
Video ya juzi YouTube walisema kwamba ilifutwa kimakosa na madai ya mlalamikaji hayana msingi.
Hivi nikija kwako nikasema naomba nitumie kazi yako,ukiniruhusu nikatumia nitakuwa nimeiba???
Yeah juzi mmefutiwa wimbo kwa wizi. Video ya tanasha ft domo mliiba idea brazil mpaka msanii wa watu akalalamika

Mwambie domo achekeche akili. Mpo trending lakin zuchu hana hata hit song moja
 
Nilifatilia aliomba copy kidogo lahaula haaaa jamaa akapiga copy and paste mpaka mbrazil akashangaa hakutegemea. Eti bahati mbaya hakunaga hio,video ilifutwa kwa wizi
Umefuatilia taarifa vizuri au unasema tu??? Yule mbrazil hakulalamika ila alithibitisha kuwa Diamond aliomba ridhaa ya kutumia kazi yake.
Video ya juzi YouTube walisema kwamba ilifutwa kimakosa na madai ya mlalamikaji hayana msingi.
Hivi nikija kwako nikasema naomba nitumie kazi yako,ukiniruhusu nikatumia nitakuwa nimeiba???
 
lakini WCB ina mashabiki wapuuzi jaman

kuna mfugo mwingine kule nimeona unasema trending sio ishu.

wewe naye umekuja na lako.kwani tatizo nini jaman???
 
😂😂😂😂 Inaonekana una ugonjwa wa Trending no.1, kwa ukubwa wa diamond na followers wake lazima a trend tu


Ila bado nyimbo zake za sasa hazijatoboa na kuna ambayo ilichechemea ku trend..achilia mbali ile iliyofutwa kwa kuba bit

Pamoja na kuwa nyimbo hizo zote zina ad, diamond ana advertise na bado ana followers wengi


Kiba ana subscribers chini ya laki tano, wakati diamond anao zaidi ya 3m unaona gap hili

Kiba hana ad kwenye nyimbo zake diamond ana ad


Kiba is strong, na mashabiki wake ni loyal mno, yaani Kiba hakutakiwa hata kuingia trending

Fact kuwa ana followers wachache sana, hatangazi nyimbo zake utube na bado anaweza kunusa namba moja, huyu sio wa kumdharau ...Diamond anajua hilo sana


Pia wake wengine jamani...wanatoa miziki kila siku na hauoni iki trend
kwanza nikulekebishe jambo moja kuhusu wimbo uliofuta youtube, nikinukuu kauli yako kuwa waliiba beat si sahihi ni upotoshaji wa hali ya juu. Wimbo ulishushwa youtube kwa claim ya tony Anton lakin wcb walituma vithibitisho kuwa wana hati miliki ya wimbo pamoja na video youtube wakajiridhisha wakaupandizha tena wimbo.

Pili wimbo ulipandishwa youtube kwenye channel ya Zuchu na si diamond. Na wimbo umekuja kulipiwa ads baada ya kurudishwa. Hata hivyo lengo kubwa la ads nikufanya kazi yako iwafikie watu wengi ili msanii aweze kutanua wigo wake wa mashabiki na kutengeneza pesa kupitia views. Hizo ni business strategies, sasa wewe kaa msifie upumbavu msanii wako, nyimbo zake nyingi views ndogo sana na hii inamaana anayengeneza pesa ndogo kupitia youtube. Kiba si mshindani wa diamond kiuhalisia kabisa amepigwa gap kubwa sana. Na huo ndio Ukweli mchungu ambao mashabiki wa kiba inawauwia vigumu kuumeza.
 
😂😂😂😂 Inaonekana una ugonjwa wa Trending no.1, kwa ukubwa wa diamond na followers wake lazima a trend tu


Ila bado nyimbo zake za sasa hazijatoboa na kuna ambayo ilichechemea ku trend..achilia mbali ile iliyofutwa kwa kuba bit

Pamoja na kuwa nyimbo hizo zote zina ad, diamond ana advertise na bado ana followers wengi


Kiba ana subscribers chini ya laki tano, wakati diamond anao zaidi ya 3m unaona gap hili

Kiba hana ad kwenye nyimbo zake diamond ana ad


Kiba is strong, na mashabiki wake ni loyal mno, yaani Kiba hakutakiwa hata kuingia trending

Fact kuwa ana followers wachache sana, hatangazi nyimbo zake utube na bado anaweza kunusa namba moja, huyu sio wa kumdharau ...Diamond anajua hilo sana


Pia wake wengine jamani...wanatoa miziki kila siku na hauoni iki trend
Platnum member kuleta utimu ni aibu kubwa.
Kwani ku advertise ni kosa??? Huyo Kiba kilichomfanya asitumie account yake yenye subscribers wengi ni nini???
Halafu kumbuka hiyo nyimbo ime trend kwa sababu ya Madongo yake, mashabiki gani loyal wametelekeza nyimbo zake mtandaoni. How come seduce me ina views million 10 ikiachwa kwa views million 30 na zilipendwa ambayo mara ya kwanza iliipita???
 
Nilifatilia aliomba copy kidogo lahaula haaaa jamaa akapiga copy and paste mpaka mbrazil akashangaa hakutegemea. Eti bahati mbaya hakunaga hio,video ilifutwa kwa wizi
Keep hating miss, seems like hate make you feel good and make you glow. No body can change you.
 
Pointi imekuingia mkuu. Mtaomba omba hadi lini. Naombea msije mkafikia hatua yakuitwa ombaomba fc
Keep hating miss, seems like hate make you feel good and make you glow. No body can change you.
 
Back
Top Bottom