crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Wezi???kivipi??? kuna msanii ulishawahi kumsikia akisema ameibiwa na wcb???
Kwa sababu sio wezi. Mwizi akipita na mali mpya mtaan lazima watu wajiulize kaiba wapi